Wanaume mnashauriwa kufanya usafi sana wa maeneo haya ya mwili...

Uzi mzuri sana umegusia nyanja muhimu sana vya usafi haswa hapo kwenye kinywa ubalikiwe kwa ukumhusho japo JF imejaa mzaha kiukweli kumwambia mpenzi wako vitu vyengine Direct sikitu rahisi nayeye lazima ajisikie bibaya.

Nitaanza kutekeleza kesho tu baadhi ya vitu haswa kinywa sijasema kinywa changu kichafu ni hizo njia.

Naushea kwenye store yangu ya WhatsApp.
 
umuhimu wa kutokata nywele kamauulize samson

ila sawa umesikika ila na nyie muoshe njia za mkojo hizo kila mtokapo kukojoa...yani mtoto wa kike anakwenda chooni kukojoa bila hata maji kwenye kopo....90% hawaoshi sehemu za nyeti baada ya kutoa haja ndogo
 
Ndio maana asilimia 90 ya nyuchi zinanuka uozo wa samaki!
 


Kama kuna saluni kwa ajili ya nywele za kichwani na ndevu, kwanini hakuna saluni kwa ajili ya nywele zingine??, anzisha hizo saluni mbona utapata wateja tu.
 
Huko kwenye mstari wa tako munatafuta nini nyie wanawake, kama sio kuambarutiana tu
 
Mke wangu mwenyewe sipendi anyoe KABISA napenda kumwona nazo zikiwa refu haswa, mimi ndio kabisaaa hata sikumbukagi

Ni mwendo wa Rasta tu ila safi, ukizichana na ile chana kubwa ya mti raha tupu
 
We ni nani hata unipangie pak aina ya dawa ya meno, ebu acha kutusumbua!![emoji28] [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…