Wanaume mnashauriwa kufanya usafi sana wa maeneo haya ya mwili...

dear huna chet feki kweli?
 
umenichekesha mpaka basi!!!!! by the way hivi kweli mwanaume akae bafuni NUSU SAA au SAA NZIMA anaoga???? serious kweli!!!! labda kama anafanya ule mchezo pendwa wa pun..........o. Ila sio kwa kichambo hicho looo!!!
ntafurahi sana kama umenyoa hii ni kampen tokomeza v.zi
 
Dakika 20 nasugua meno?, Tanzania tuwe na nidhamu ya muda...

Binadam washaoza, hata wafanye usafi kila baada ya dakika 5...bado wataendelea kunuka km kawaida
sheria mpya lazima mtekeleze hakuna kunipinga hapa
 
Mi nshafuga na rasi mwenzenu,
Nikitembea mtaani naziachia kwa mbele...nikirukaruka mademu utasikia oyooooooo rasta mannnn
whwasssagwaaa man.
Then nazikamatilia fresh nazisweka ndani ya konkin.
hii ni amri mtazinyoa kwa lazima
 
Fafanua hapa njia gani inatumika kuzinyoa hizo ndevu za makalioni na anyejinyoa akae staili gani
 
asante kunielewa wengine wananibeza ila wasipobadilika basi watoto wazuri kama sisi wataishia kutuona jf na vi id vyetu feki.

labda nikushauri kitu usiwe na aibu mbele ya mpenzi wako, tengeneza mazingira ya kumwambia kama ana kitu ambacho hupendi.

mfano, unaweza mpigia simu ktkt ya story unaleta mada ya usafi unamwambia mfano baby mm huwa sipendagi nywele za makwapani, au v.zi etc au kitu kingine kama kweli anakupenda atabadilika.

mimi niko creative sana kabla sijakutana na mwanaume huwa namtega namuuliza hivi baby ni vitu gani kwenye mapenzi hupendi? namsikiliza akimaliza na mm nashuka tena namwambia kwa msisitizo kwamba harufu yeyote ana nywele zozote tofauti na kichwani papuchi sikupi. kwa kufanya hivyo sijawahi kutana na watu wa hivi, mm sio mbaguzi ila kwenye swala la usafi nabagua balaaa maana mm mwenyewe msafi mpaka najistukia, hasa nikiwa kwa watu.


hata niende kutembea sehemu nabeba kila kitu hadi sabuni ya kuogea dodoki, kanga zangu yaani spendi kusumbua watu
 
nextweek zamu yao lazima niwafundishe kila kitu.
 
Mke wangu mwenyewe sipendi anyoe KABISA napenda kumwona nazo zikiwa refu haswa, mimi ndio kabisaaa hata sikumbukagi

Ni mwendo wa Rasta tu ila safi, ukizichana na ile chana kubwa ya mti raha tupu[/Q
poleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…