Hvi jamani imagine una rafiki ako mmekutana kwenye mitandao tu ya kijamiii ukawa mnaongea vizuri yeye ni me wewe ni mwanamke, then anaonyesha kama vile anakutaka na wewe upo single baadae mara anaongelea ma x wake sijui hawezi kuwasahau [emoji57].
Badilikeni wanaume mnatukata sana.
Unakuta ushaanza kumuelewa lakini ndiyo hivyo[emoji18]
Imeniuma sana aisee [emoji2212][emoji2212][emoji2212]