Road Traffic Signal
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 621
- 1,958
Iga hii kutoka kwangu., ukishaanza hicho kinywaji punguza kuongea sana, punguza kuandika andika hovyo mitandaoni, ila kwa vile humu tumo anonymous we mwagika tu ila chunga effects za hicho kilevi huchelewi kudisclose identity yako, anyway leo unakunywa Bar gani hapa mjini nije nikupe Windhoek 15?Ivi jamani i magine una rafiki ako mmekutana kwenye mitandao tu ya kijamiii ukawa mnaongea vizuri yeye ni me ww ni ke ,then anaonyesha kama vile anakutaka na wewe upo single baadae mara anaongelea ma x wake sijui hawed kuwasahau [emoji57].
Badilikeni wanaume mnatukata sanaaa.
Unakuta ushaanza kumuelewa lakini ndo hvyo[emoji18]
Imeniuma Sanaa aiseeee [emoji2212][emoji2212][emoji2212]