Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Pesa kwanza ndiyo unapewa mapenzi
Umeona eeh!Huyo alikuwa hajui ujentomani....ana papara....ningekuwa mimi ningeenda na wewe slow but sure then "nirare na wewe mbere".. [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah, haya bwanaPesa kwanza ndiyo unapewa mapenzi
Angemwaga mpunga usiku ule ule angepiga papuchi
Wanaume wa mkoa hawawajui madada zetu wa Dar
nop..kushoboka sio kuchezewa trakooo
Utakataa labda jamaa kakufuata wewe.Haipendezi mkutane face to face kwa Mara ya kwanza na kutoa papuchi,cha msingi ni kuvumiliana kwanza,halafu muda ukifika utapewa bila shida,siku hiyo hiyo unafika unataka papuchi mmmmh haiwezekani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alikwambia Direct anataka akufukunyue???? Si alisema kulala tu au??
Kama amedhamiria kunipenda ,basi asiwe na papara,sio lazima msexUtakataa labda jamaa kakufuata wewe.
Fikiria kama wewe ndiye ungemfuata mkoani atokako, ukaenda kwa ajili yake.
Alafu akwambie leo hatutaweza kuwa pamoja! Utamfikiriaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu Kyela kipindi cha mavuno hiki
HahahahahDahhh! Kweli kwenye miti hakuna wajenzi umeshakaribishwa hadi hm sasa haraka ya nini tena
Ningekuwa Mimi ningeenda hapo gest ningelipia siku mbili ningelala asubuhi wala nisengetoka angekuja tu kunisalimu mgeni wake hapo unakula mzigo kiulaini kabisa
Jamani wadada jf mi nipo dar ila hata kama upo kimara haina shida nitakuja tu kwako tutaongea alafu utanipeleka gest ya karibu nikalale ila siku ya pili usisahau kuja kunisalimia karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
NajaKaribu Kyela kipindi cha mavuno hiki
Njoo uchukue mpunga,matikiti,ndizi na matunda
Ndiyo msimu wake
Nikukabidhi mara mbili???Rafiki nikabidhi chura yako naapa sitakuangusha!
Nikukabidhi mara mbili???
Kuoana ni majaliwaIv ukimzungusha mwanaume au ukampa kesho yake ndo atakuoa?!
ndege akiwa wa kwako hawezi kukusumbua lazima aelekee kibla mwennyeew!