mama weeee!
Shughuli nzito.
Hicho kidude hakijakonda? Lol!
Kabla ya ndoa ni mmoja tu, baada sasa ndio kimbembe, nafikiri wasichana au wavulana wanakuwa na mahusiano mengi kabla sababu wanakuwa hawajapata perfect match yao, mtu anakuwa na uhusiano akitegemea wataoana mara mwenzake anamwacha anaoa mwingine, mwingine anamfumani, mwingine anashindwa ulevi, kila mtu na lake mpaka anapompata aliyeandikiwa hapo mambo yanaenda vizuri
kiukweli mimi sikumbuki idadi maana ni nyingi mno kila nikijaribu kukumbuka naona na mwingine anatokea ukizingatia nilikuwa na tabia pia ya kuokota hata machangudoa yanaojiuza barabara acha niwe mkweli ili kama ni dhambi basi niwe nimeungama mazima SIKUMBUKI IDADI NI WENGI MNO WAKISHIKANA MIKONO WANAWEZAFIKA KILOMETA 700 DUH NA BADO NINA LIST NDEFU AMBAO BADO SIJAWACHOVYA WANATAKA LAKINI NIMEKOSA MUDA WA KUWACHOVYA NIKIWACHANGANYA NA HAO NI KILOMETA NYINGINE 700. na kwasasa kasi imepungua maana mamaa naye anadhibiti ili wako kwenye list ya kudungwa kila nikisema nikimdunga huyo atakuwa wa mwisho anatokea mwingine nahisi nina mapepo napaswa kuombewa. mpaka mke wangu ananiambia hivi wewe huwezi kufanya shughuli yoyote au ukisafiri au ukienda kwenye semina na mikutano biala kuanzisha uhusiano na na jinsia tofauti na baade umalie kwa kumdu? baada swali hili kuulizwa ndio imetokea nikajitafakari kwamba na mimi ni kicheche. ila sasa pamoja na hayo yote ninaye rafiki yangu mmoja mimi huwa nashindwa kumwelewa maana yeye kuna siku huwa anakuwa na ahadi na wawili na anazitimiza zote huyo kanishinda hivyo mimi nami kwa hapo najiweka kwenye kundi la watakatifu maana hao wa kwangu ambao sikumbuki idadi yao kwake ni kidogo sana. ila kumbukeni kutumia kondomu wazee hii kitu samtimes huwa tunapiga lakini si unajua tena na kale kamdudu kamekuja kujificha hapo hapo.
Mkuu, Hongera kwa kwenda kupata kikombe. Inaonekana ni kwa kiasi gani hujiamini kwa mauaji ulokuwa unafanya. LOL
:hatari: duh!!!
kuna watu kiboko..hee!je unawakumbuka kwa sura wote hao?
mwisho utabaki unatoa upepo au povu tu shauri yako we ona sifa kumbe unajimaliza kiafya
Ila wanaume nanyi mmezidi kuwa na list ndefu...tukihesabiana hapa nyie mnaongoza..
sio sifa na wala sioni sifa ndio maana pale mwanzo nimesema sijui nina mapepo yaani ikitokea nawasiliana na jinsia tofauti kwasababu yeyete ile tunajikuta tumeishia kwenye ngono sijui ni nini tunaanza kama utani na mara nyingi naweza sema wao ndio wamekuwa wakinishawishi maana naweza kuwa na mawasiliana na jinsia tofauti unaweza kuona kwamfano anakutumia sms yenye mwelekeo wa ngono ukimwomba akunyimi .
unapozungumzia wanaume tumezidi kwani tunafanya wenyewe si tunafanya na nyie mi naona ngoma droo
kuhusu kuwakumbuka kwa sura kama wale wanaojiuza barabarani siwakumbuki wote kwa sura hata wakiletwa hapa leo nitakataa kwamba sijawahi kufanya nao maana wengi nilikuwa nawaokota kwa muda mfupi sana nawatia kwenye gari za chapchap nawapa chao wanachapa lapa, sio wao tu hata wengine ambao najaribu kukumbuka kwamba mwaka flani nilikuwa sehemu flani na niliwahi kuwa demu flani ila nikijaribu kumkumbuka kwenye sura haiji kabisa nakumbuka tu kwamba nilifanya naye mapenzi na alikuwa mnene au mwembamba pengine naweza kukumbuka pengine sikusikia raha au nilisikia raha sana ila sura haiji kabisa.
kuhusu kutoa upepo au povu haijawahi kutokea na kama nilivyoeleza hapo awali ni kwanba niko vizuri wengine huwa nataka kuniganda lakini mara nyingi naweka nguvu kwa wale ambao bado sijawachovya zaidi kuliko kurudia, mara nyingi namrudia mwanamke kwavile ananisumbua kwamba anahitaji na sio mimi ninayemuhitaji. nakonsetrati na wale ambao sijawala zaidi kuliko wakurudia. tatizo nikishakula ndio inakuja shida kwamba wanataka tena. kuna mmoja tu ndio huwa namrudia sana maana ndiye mwanamke pekee tangu siku ya kwanza kukutana naye naona yuko tofauti sana jinsi anavyofanya mapenzi.
ni vile yuko mbali lakini kila nikisafiri kuelekea huko aliko lazima tuwe naye huyo huwa ananipa vitu tofauti kabisa sijawahi kupata mahali pengine. ila mke wangu huwa namrudia kwavile ni mke wangu lakini hana kitu maalumu saaaana ingawa naye anajitahiditahidi. ila huko tunakopita kuna kwingine hata hakufai kuhadithia unaweza kuchota lifisi (demu) duh kweli kuna kila rangi na kila dizani ila kama kuna vitu nimewahiona vina sura za ajabu basi hivyo vinaongoza hakuna hata kimoja kina sura sawa na mwenzake yaani siwezi hata hadithi. na harufu nyingine nzuri nyine mbaya unaweza kukutana na harufu ukasema sirudiii tena kuchota lifisi unaweza maliza wiki unajisikia kichefuchefu, kama kuna demu mmoja ni mzuri wa sura yaani nilimtamani kwa muda mrefu ila iyo siku aliyonipa nilichoka mwenyewe alipoondoka sikuwasiliana naye tena akawa kila siku anapiga simu nashindwa hata kupokea maana nikipata simu yake nasikia harufu. ee mwenyezi Mungu unisamehe na kunisaidia