Wanaume na Ndoa mpya za kwenye semina .....!

Jamani acheni kuzungumza matusi. Mnakuwa kama wanachama wa ccm bwana!!!
 
Haha semina unalipiwa chumba hilo utalalaje peke yako bhana we kamata mke wa au mme wa m2 chezeni gemu. Mana hata ukitaman 2 pia umezini.
 
Amini kwa yule umpendae lakn ukitanguliza na maombi kwa kila jambo ulifanyalo hakika utaepuka hizo dhahma
 
Hapo umenena........



 
nimetoka kwenye semina ya kusimamia mtihani mmoja wa kitaifa.. "jina kapuni".. kila mwanamke niliye jaribu ku.. "flirt" naye... alikua ready... so sijui kuna nin hapa. kosa la mwanadada au mkaka..

Wewe kwanini uliflirt nao; nao walikuwa katika research ili wajue how men behave! Unapimaje kuwa ready? Walikupa?
 
kwa hiyo kama wewe ni mdada mwenye akili timamu.. kwanin u mind!! why should you bother!! potezea

Anabother because of usumbufu na kuharibiwa siku! Did u know sometimes mnawatia kichefuchefu wanawake pale mnapojifanya vidume kwa kukenulikenulia wadada meno!
 
Tatizo ni kina dada, kwanini ukubali?
 
Wanaume hawafai kabisa hawa. Mnakutana siku moja tu kwenye semina anajifanya amekufa ameoza juu yako. Wizi mtupu.

Uzuri ni kwamba una uamuzi wa kukubali au kukataa
 
na wewe why umtongoze?

Sio kuwa wakati wote tunatongozwa dada... Sio siri miaka mitano iliyopita nilikuwa natongoza hadi nachoka. Siku hizi natongozwa (kwa matendo, na maneno), had uvumilivu unashindikana...
 
Matatizo mengi yanayo tukukuta kwenye mahusiano tumeyalea wenyewe.
Hatumuombi MWENYEZI MUNGU kutupa wenza wema na wala Hatufanyi utafiti wa kutosha kabla ya kuanzisha reletion. Tunaongozwa zaidi na hisia na sio uhalisia.
 
Matatizo mengi yanayo tukukuta kwenye mahusiano tumeyalea wenyewe.<br>Hatumuombi MWENYEZI MUNGU kutupa wenza wema na wala Hatufanyi utafiti wa kutosha kabla ya kuanzisha reletion. Tunaongozwa zaidi na hisia na sio uhalisia.
 
nimetoka kwenye semina ya kusimamia mtihani mmoja wa kitaifa.. "jina kapuni".. kila mwanamke niliye jaribu ku.. "flirt" naye... alikua ready... so sijui kuna nin hapa. kosa la mwanadada au mkaka..
Hii ni indication kuwa ndoa zetu nyingi haziko settled hivyo watu wanapopata nafasi ya kuhudhuria semina ndo wanapata mda wa kutafuta walau temporary peace of mind, au inakuwa kuwa penzi la nyumbani limebaki mazoea tu kiasi kuwa nothing new ktk mapenzi. Cha kufanya kuweza kunusuru ndoa hizo na probably kujiepusha na maambukizi ya magonjwa ya zinaa(sti) ni kuelezana ukweli na kwa uwazi feeling za wanandoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…