Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Teh teh! Ni kwa vile kuna wanasayansi ambao hawajawa certified! Lakini kiboko yao ni hili group la ;Mtume na nabii Mwingira,Mzee wa ufufuo Gwajima,Askofu Kakobe,Mh-mchu-Ask-Dk-mama Rwakatare n.k:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!
haya bwana....
mimi damu naogopa
ngoja nikupe mtihani:
niambie ni kwanini BAGAMOYO,SUMBAWANGA,PEMBA,NA KIGOMA tunazigroup pamoja wakati wote tunapoamua kuzielezea?
hapo chacha!! (kwenye red)
nimesema presumably mkiishi miaka miwili basi...........sasa hiyo si imezidi miwili DC na watoto juu...ndoa hiyo!! sasa huyo mama saa hizi kumekucha shuka la nini??
hapo sasa ndo ninaposhindwana na charity...Teh teh! Ni kwa vile kuna wanasayansi ambao hawajawa certified! Lakini kiboko yao ni hili group la ;Mtume na nabii Mwingira,Mzee wa ufufuo Gwajima,Askofu Kakobe,Mh-mchu-Ask-Dk-mama Rwakatare n.k
na siku zote kumbuka ;Dawa ya moto ni moto,dawa ya maji ni maji na dawa ya Damu ni damu.........
Asijidanganye kwa hilo.Ang'ang'anie mpaka apate cheti(cha ndoa).Silaha zote anazo za kumfanya mwnaume ATANGAZE NIA.kwa nini hazitumii????????ok kwa michango ya wengi hapa naona hawa ni wana ndoa halali kabisa, huyu mama hata akiachwa atakaua ameachika tu kama hawa wa ndoa za kanisani wanavyoachana!
Swali la kizushi:- Je hapa JF kuna wanaume au wanawake wanaoshi hizi ndoa informal?
Mpendwa Mungu akubariki sana (najua utajibu...AMEN). Sasa mtumishi wa bwana anaweza kwenda kupata lunch ya nguvu (ukizingatia mama watoto nimemshawishi akaacha kazi toka mwezi wa 5)!!
Kuna watu wengine wana taabu dunia hii. Yaani wanakwenda kwa daktari wa Amana au Mnazi mmoja na kujikalisha kwenye mstari masaa 2-6 huku wakijua hawaumwi! Ndo maana nilisema huko nyuma kwamBa huyu mama kweli ni mchokozi! Kama anakumbuka dini leo basi ajenge kanisa lake ili asiwekewe vikwazo kwamba alikula bila kunawa kwa miaka 10!
hebu kwanza nikuulize wewe, wakati unaanza kuishi na huyo my husband wako ulikuwa na imani yoyote ya dini? je uliona ni sahihi kwenda kuishi na mwanaume bila ndoa, if yes kwa nini sasa hivi unaona sio sahihiwapendwa naomba mnisaidie kwa hili, kwanini wanaume ni waoga sana kuingia kwenye ndoa? yani hata kama mmeishi pamoja ikija kwenye suala la ndoa ni kupiga kalenda tu, ni kwanini inakua hivyo? je anakua hana mapenzi na mwenzi wake lakini anaendelea kudanganya kuwa anampenda?
Tatizo kubwa ni kuwa 'NABII' huwa hakubaliki nyumbani kwao.hapo sasa ndo ninaposhindwana na charity...
kwa mfano ungekuwa mrs wangu,dah HAKI-A-NANI MI NGEKUACHIA NYUMBA naenda kupanda chumba kitunda:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Unachukia huo mbinuko au kutokuvaa nguo?
hebu kwanza nikuulize wewe, wakati unaanza kuishi na huyo my husband wako ulikuwa na imani yoyote ya dini? je uliona ni sahihi kwenda kuishi na mwanaume bila ndoa, if yes kwa nini sasa hivi unaona sio sahihi
Asijidanganye kwa hilo.Ang'ang'anie mpaka apate cheti(cha ndoa).Silaha zote anazo za kumfanya mwnaume ATANGAZE NIA.kwa nini hazitumii????????
Mpendwa Mungu akubariki sana (najua utajibu...AMEN). Sasa mtumishi wa bwana anaweza kwenda kupata lunch ya nguvu (ukizingatia mama watoto nimemshawishi akaacha kazi toka mwezi wa 5)!!
Kuna watu wengine wana taabu dunia hii. Yaani wanakwenda kwa daktari wa Amana au Mnazi mmoja na kujikalisha kwenye mstari masaa 2-6 huku wakijua hawaumwi! Ndo maana nilisema huko nyuma kwamBa huyu mama kweli ni mchokozi! Kama anakumbuka dini leo basi ajenge kanisa lake ili asiwekewe vikwazo kwamba alikula bila kunawa kwa miaka 10!
kwanza CONSULTANCY FEE tafadhali.2010 Kijasiriamali zaidi!!!!!!!!!nidokezee hizo silaha charity, huenda kesho tukasikia anasema nami NATANGAZA NIA
Huyu mama anahitaji kanselling kwanza.INavyoonyesha kuna vitu vinatakiwa viwekwe wazi kabla ya kupewa silaha,ninawasiwasi anaweza kuzi-missuseSilaha gani tena hizo? AK47 au Scud?
Mhh, hapa itabdi nimzue yule mama kuingia jamvini kwani anaweza kuamua siku moja kutumia hizo silaha za maangamizi! Ila huyo baba nadhani naye amejiimarisha vya kutosha. Kama ameweza kuhimili mawimbi na Vuvuzela za mdau wake kwa miaka 10 basi anti-missiles zake si mchezo!
kwanza CONSULTANCY FEE tafadhali.2010 Kijasiriamali zaidi!!!!!!!!!
hapo coloured......natafuta muda
otherwise AMEN bro!!!
hee kweli kijacriamali zaidi....lol! lakini hata mie ningefurahi sana kama huyu baba angemuelewa huyu mama, wafunge ndoa jamani, kwani huyu baba kinamzuia kitu gani?
Kweli dada, ukiwa insecure lazima ujue jinsi ya kushughulika na potential threat (vijizi vingi mtaani). Mama akiwa home, geti limefungwa 24/7 na mbwa (tena wale German Shephard) wanazunguka zunguka unaweza kukaa ofisini kwa amani. Vinginevyo utaanza kufikira kurudi rudi home kama vile unamfukuzia baki 3!
Kuna kitu hapo? Mtu na akili zake, tena mwanamume, kwani nini hataki kwenda kufunga ndoa? Haiwezi kuwa bure!