Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 150
7.Unakubalije kutegwa?kweli mtu unaona kabisa huu ni mtego huu....jamani ni mtego huu...halafu unapeleka mguu?????wakati huo umelewa au mzima?...........anyway ni mawazo yangu tu.
OyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeJF oyeeee, JF juuuuuu
Tunasemaje wakuu?
Mimi nimekuwa nikifiria mara nyingi sana inakuwaje ss madume una wife/demu unampenda na ukimega unaridhika lakini bado ukiona demu mwingine unatamani na akiingia kwenye 18 zako unamega vilex2 na sasa nimefikia conclusion kwamba kwa kiasi kikubwa hawa dada zetu ndio wanatupelekea sana katika hilo. Yaani huko mitaani ni full ngonongono na kutegana especially ukiwa mtu fulani unajimudu. Tunasemaje wakuu?
vidosho nao ndo wamekuwa wabunifu zaidi... mara shanga, mara ma-miliki, mara vimini, ili mradi tu aulizwe
Kutamani ni hali ya kawaida... lakini kinachotutenganisha wanadamu na wanyama wengine ni uwezo wa kuji-control...
Funika "peni" hiyo ndugu yangu, kwani ni nani atakayekulazimisha "kutia saini" popote tu???
Jifunze control!!!
Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Juuuuuuuuuuuuuuu Juuuuuuuuuuuuuu Juuuuuuuuuuuuuuu Zaidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii:target::target::target::target::target::target:
very good....thats why I nanihii you....:smile:
Kutamani ni hali ya kawaida... lakini kinachotutenganisha wanadamu na wanyama wengine ni uwezo wa kuji-control...
Funika "peni" hiyo ndugu yangu, kwani ni nani atakayekulazimisha "kutia saini" popote tu???
Jifunze control!!!
Don't judge a book by its cover.....carefuljina lako tu linakutambulisha maswali na mawazo gani uliyo nayo muda mwingi.
Kutamani ni hali ya kawaida... lakini kinachotutenganisha wanadamu na wanyama wengine ni uwezo wa kuji-control...
Funika "peni" hiyo ndugu yangu, kwani ni nani atakayekulazimisha "kutia saini" popote tu???
Jifunze control!!!