Wanaume na vituko vyao.

be patient and trust in GOD alwaz,he will lead you the way!usikurupuke wengine wanaume na wengine magume gume!
pearl where are they I can,t find one




[/COLOR]
 
be patient and trust in GOD alwaz,he will lead you the way!usikurupuke wengine wanaume na wengine magume gume!

Jamani jamani magume gume wii duh kasheshe.
 
Kweli kila afanyacho mwanaume mbele kuna mwanamke, kiwe kizuri kibaya mkatae mkubali, na mara nyingi washauri wa mwanaume ni mwanamke so inabidi mliangalie hili kwa makini wandugu, thanx
 
wewe umenena
 
Tumepatikana leo wala sitii neno,ngoja tukayafanyie kazi lol!

NB:leo naona mumewe Mamushka kaletwa nyumbani asubuhi na polisi wakukodi.
 
aah laaaziz kipenzi cha mtima wangu.....nimekumiso ile mbaya

Umeniacha mimi na hangover za jana ukatorokea huku sio??? halafu unaleta nawe vituko eti angalia tupo bana,uache kabisa!!!
 
Tumepatikana leo wala sitii neno,ngoja tukayafanyie kazi lol!

NB:leo naona mumewe Mamushka kaletwa nyumbani asubuhi na polisi wakukodi.

Hahaaa uporoto kama ulikuwepo, kachaniwa na shati sijui alikua wapi.
 
There`s a woman in any man`s success,but the opposite can also be true and that is there`s a woman in man`s failure.
 
umekosea kdogo sema vtuko vya wanaume na wanawake maana wanavifanya wote pamoja
 
be patient and trust in GOD alwaz,he will lead you the way!usikurupuke wengine wanaume na wengine magume gume!

ucsahau pia kuna wanawake na wengine manungayenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…