nafikiri hakuna asiye na vituko dunia ya leo wanaume/wanawake wote vituko nachokiona tumeishia kuangalia zaidi vituko kuliko kutafuta suluhisho.
ukiona kituko cha mwanaume nyuma kuna mwanamke/ sawa na upande wa pili kituko cha mwanamke nyuma kuna mwanaume .
wanaume including your DAD eeeenh, kweli umemkosea baba yako uombe radhi
Nasikia wanaume wote ni kama watoto wa tumbo moja yaani wanafanana tabia.
Cheki hicho nacho kituko tayari.
There`s a woman in any man`s success,but the opposite can also be true and that is there`s a woman in man`s failure.
Kumbe unasikia!! No reseach no right to speak! Do you got me!
ukiona hivyo ujue ni mtotowe wa wapi?
Kwani huoni watu wakiandika habari ambayo haina uakika wanaanza na tetesi.
Acha makeke halafu rekebisha hiyo lugha ya watu.
ukiona hivyo ujue ni mtoto
na niwanaume haohao wanaowasabababisha kutembea uchi, kupiga jeki maziwa, kutafuna madawa ya kichina, kuzama saluni kila siku na hata kunengua majukwaani, maana sina uhakika kama wanaume wakigoma kwenda twanga na akudo kama hao mademu wanenguaji watalamba mkate wao.
Na ili kujua wanaume ndo wamewashikia akili, hata kitchen party zenu huwa mnaenda kufundishana jinsi ya kumuhudumia mwanaume.
wanaume including your DAD eeeenh, kweli umemkosea baba yako uombe radhi