Yaani huyu kiumbe halafu wengine ni washabiki wakubwa wa jf sijui kwa nini huyu kiumbe habadiliki mbaya zaidi they are always right,lini wamesema wamekosea?hivyo vituko hapo 70% ndo kiumbe nilichonacho nacho!kiumbe kisichochukulila na Kiki comment hapa namuumbua!tunawaita wAnaume suruale!!!
nafikiri hakuna asiye na vituko dunia ya leo wanaume/wanawake wote vituko nachokiona tumeishia kuangalia zaidi vituko kuliko kutafuta suluhisho.
ukiona kituko cha mwanaume nyuma kuna mwanamke/ sawa na upande wa pili kituko cha mwanamke nyuma kuna mwanaume .
wanaume siku zote wako sahihi na ikitokea wamekosea kusamehewa ni haki yao ya msingi
:A S kiss:Tena jaribu umfumanie, atakuomba msamaha utamsamehe, yeye akifuma wewe mfano, unajua kinacho fuatia hapo hataulie kama nini ni basi tena hakuna la zaidi ni unaachwa.
Imekuacha hoi eeh ndo ukweli huo.
pearl where are they I can,t find one
[/COLOR]
Tena jaribu umfumanie, atakuomba msamaha utamsamehe, yeye akifuma wewe mfano, unajua kinacho fuatia hapo hataulie kama nini ni basi tena hakuna la zaidi ni unaachwa.