Wanaume na vituko vyao.

mwanaume huyo huyo akiwa na pesa wanawake wanajipanga kama magari kwenye traffic light...hahaha
mwanaume huyo huyo anawafanya mjifanyie plastic surgery na botox kibao!...

Yani unaona mlivyo navituko mpaka mnafanya waschana wasiele.
 

Nadhani ingekua hakuna kulia duniani. Japo mnasema No woman no Cry hapo hua mnatafuta kisingizio tu.
 


Unaonaje ukibadili hiyo ID yako iendane na maneno mazuri uliyenena hapa.
 
ha ha hahaaaa lol....
basi basi mtulize huyo alioko kichwan nisije kukulia halafu baadae... mi nakutaka bado... we wape ukweli tuu maana ukweli huwa wauma kuliko ngumi:shock:..
Nakwambia Nilham, ningekua karibu kituko cha mangumi kingenihusu haaa haaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…