ivi kama mngebaki wanawake wenyewe hapa duniani, mngekuwa mnatembea uchi? hayo manywele ya wafu mngekuwa mnavaa? suruali za kubana mngemvalia nani?
Lakini jibu lipo, waangalie wanapoenda kwenye vicheni party, wanavaa vizuri, lakini wakienda kwenye mikusanyiko mingine ambapo wanaume wapo waone nguo zao! kama hawajitambui hawa watu, ona wanavyochezeshwa uchi kwenye makumbi ya starehe huku wanaume wamevaa vizuri,
kweli Mungu alimuumba mwanaume kwa mfano wake na kumfotokopy mwanamke toka kwa mwanaume .