Wapenda hela utawajua tu hadi maandiko wanatoaImeandikwa mwanamke pambo la nyumba sa pambo litapambikaj bila ela kutumik na kun mwanaum gani anaependa mwanamke ambae yupo hovyo na ili asiwe hovyo lazim mwanaume uhakikishe mwanamke wako yupo good anavutia masaa 72ukimtizama unafurahi
Wapenda hela utawajua tu hadi maandiko wanatoa
Af katik wanawak wasio jua kutumia hela ya mwanaume wak mm nipo [emoji3][emoji3][emoji3]
Chakula tu usijal utapata,ila hizo nywele za sijui laki kusuka tu,utanisameheWanaume wacheni ubahili ukipenda kula ujue kutoa hela ya kununulia chakula.
Njoo pm tuyajenge mi ndio napenda wenye sifa hizoAf katik wanawak wasio jua kutumia hela ya mwanaume wak mm nipo [emoji3][emoji3][emoji3]
Seriously???Af katik wanawak wasio jua kutumia hela ya mwanaume wak mm nipo [emoji3][emoji3][emoji3]
Aisee nyie wanawake vitu vizuri vyote mfanyiwe tu..na sisi wanaume mbona hamtufanyii hivyo kiasi cha kufanya tukawaganda zaidi tusitafute michepuko??Imeandikwa mwanamke pambo la nyumba sa pambo litapambikaj bila ela kutumik na kun mwanaum gani anaependa mwanamke ambae yupo hovyo na ili asiwe hovyo lazim mwanaume uhakikishe mwanamke wako yupo good anavutia masaa 72ukimtizama unafurahi
Swadaktami kero yangu kubwa japo wana uhuru wakufanya watakavyo lakini uvaaji wa mawigi ni moja kati ya mambo yanayonikereketa,inakuaje mdada wa kiafrika unavaa manywele ya bandia ili ufanane na mzungu/mwarabu/wareva.sibora hata usuke rasta,tena mwengine anaongea kwa pozi kabisa eti hii ni peruvian,sjui real human hair,nachukia sana tabia hii,mnakuwa watumwa wa fikra,kuamini wakoloni na tamaduni zao ni bora zaidi kuliko sisi na tamaduni zetu.mbadilike
Haaaaaaaaaaaaaaaa nikiwa na hasira u know me nalia tu.. You hold me tight nikimaliza kulia [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] najikuta tu nimefurahiiiii etiBasi siku ukiwa na hasira zimalizie kwangu... Ukimaliza kunitolea povu... I kiss u...