Wanaume na wanawake wasiopenda kujipiga selfie wana sura mbaya

Huu ndiyo ukweli wanawake na wanaume wasiopenda kupiga selfie wanasura mbaya, hawajipendi, hajiamini pia hawapendi kuona sura zao maana ni mbaya na hazina mvuto.

Usitokwe povu huu ndiyo ukweli.
Umetisha sana mkuu.Kweli nimeamini ndio maana hata baba yako sijawahi iona sura yake
 
Ben ten on line

Sent from my Infinix Zero 4 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la ushoga ni gumu kulimaliza kama biashara ya madawa ya kulevya...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

S Y B
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…