Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Wanaume nao........
Wanaume hufa mapema zaidi kuliko wanawake:
Kuna wazo ambalo kampuni nyingi za Bima zinalitamka wazi kwamba wanawake wengi wazee watakuwa wajane miaka 7 hadi 11 baada ya mume kufa.
Hii ina maana kwamba wanaume hufa miaka 7 hadi 11 kabla ya wake zao.
Sasa swali ni kwa nini wanaume hufa mapema zaidi ya wake zao.
Wanaume wengi hawako honest kwa wake zao kuhusu kitu chochote katika maisha.
Wanakuwa na maisha yaliyofungwa (boxed) zaidi kuliko wake zao.
Hii ina maana kwamba wanaume wengi huficha true feelings walizonazo, na kila wanapoficha hisia zao hupunguza life span yao.
Ni ngumu kuona mwanaume anatoa machozi, kulia kwa sauati, kukubali amechukia, kukubali ameshindwa, kukubali hawezi nk.
Ni kama anapozidi kuficha feelings zake anazidi kukaza kamba kujiua mwenyewe.
Posted by Lazarus Mbilinyi at 12:02 AM 0 comments
Links to this post
Labels: hufa
Ni mmoja tu au wawili duniani!
Wanaume hufa mapema zaidi kuliko wanawake:Kuna wazo ambalo kampuni nyingi za Bima zinalitamka wazi kwamba wanawake wengi wazee watakuwa wajane miaka 7 hadi 11 baada ya mume kufa.
Hii ina maana kwamba wanaume hufa miaka 7 hadi 11 kabla ya wake zao.
Sasa swali ni kwa nini wanaume hufa mapema zaidi ya wake zao.
Wanaume wengi hawako honest kwa wake zao kuhusu kitu chochote katika maisha.
Wanakuwa na maisha yaliyofungwa (boxed) zaidi kuliko wake zao.
Hii ina maana kwamba wanaume wengi huficha true feelings walizonazo, na kila wanapoficha hisia zao hupunguza life span yao.
Ni ngumu kuona mwanaume anatoa machozi, kulia kwa sauati, kukubali amechukia, kukubali ameshindwa, kukubali hawezi nk.
Ni kama anapozidi kuficha feelings zake anazidi kukaza kamba kujiua mwenyewe.
Je, hii ina maana wanaume ni green, hufa mapema hivyo kuwa na kiwango kidogo cha carbon print?
So wanaume ni environmentally friendly!
So wanaume ni environmentally friendly!
Posted by Lazarus Mbilinyi at 12:02 AM 0 comments
Labels: hufa
Ni mmoja tu au wawili duniani!
Matatizo ya kimapenzi katika ndoa
Kila mwanandoa isipokuwa mmoja au wawili tu duniani hatakuwa na matatizo yanayohusu tendo la ndoa na wengi wanaokwambia hawana matatizo yoyote watakuwa wanakudanganya na unatakiwa kuwa makini kuwasilikiliza kwa sikio lako la tatu.
Kila mwanaume tangu siku akioa lazima atakutana na tatizo lolote iwe kukojoa mapema (pre ejaculation), kutosimamisha (kudindisha), kukosa uzazi nk. Vyote ni sehemu za changamoto ya kuendelea kujifunza.
Habari njema ni kwamba kuna njia ya kuondoa haya matatizo ukianza na moja hadi jingine na njia sahihi ni kukubali kwamba kuna tatizo na kuanza kupambana nayo hadi unapata jibu na si kutumia muda mwingi kufikiria tu bali fanyia kazi.
Kila mwanandoa isipokuwa mmoja au wawili tu duniani hatakuwa na matatizo yanayohusu tendo la ndoa na wengi wanaokwambia hawana matatizo yoyote watakuwa wanakudanganya na unatakiwa kuwa makini kuwasilikiliza kwa sikio lako la tatu.
Kila mwanaume tangu siku akioa lazima atakutana na tatizo lolote iwe kukojoa mapema (pre ejaculation), kutosimamisha (kudindisha), kukosa uzazi nk. Vyote ni sehemu za changamoto ya kuendelea kujifunza.
Habari njema ni kwamba kuna njia ya kuondoa haya matatizo ukianza na moja hadi jingine na njia sahihi ni kukubali kwamba kuna tatizo na kuanza kupambana nayo hadi unapata jibu na si kutumia muda mwingi kufikiria tu bali fanyia kazi.