Hahahhahahahaha uende wapi hahahahha mie ndio mefanyaje baehahahaa wewe tena
hebu niende zangu...
Siku hizi tigo ina sokoo sana kwahiyo siyo ajabuingekua me na ke asineshangaa, ladba amekuta me&me wameshikana mikono! wtf
Asante baba la baba miss uPole kwa ban mama la mama
Hujui mombasa is part of kenya ?Wanaume mnatembeaje mmeshikana mikononi Doh![emoji23] [emoji134][emoji125][emoji125][emoji125]
Nimekutana nayo sasa hivi maeneo ya mikocheni,nimeshangaa sana,inabidi ukizaa mtoto wako wakiume umpeleke hata kenya akaishi huko
Ni watoto pekee ambao wanaweza kuongozana kwa kushikana mikono lakini si Ndugu watu wazima wanoweza kufanya hivyo,.Kwani kaka mtu na mdogo mtu wakiongozana wameshikana mkono kuna tatizo....
cha umbeaHahahhahahahaha uende wapi hahahahha mie ndio mefanyaje bae
Shem habari ya kifungoni??Mke na mmeee
Miss u too...muke ya mganga.Asante baba la baba miss u
Kumbe ni Dar.Wanaume mnatembeaje mmeshikana mikononi Doh![emoji23] [emoji134][emoji125][emoji125][emoji125]
Nimekutana nayo sasa hivi maeneo ya mikocheni,nimeshangaa sana,inabidi ukizaa mtoto wako wakiume umpeleke hata kenya akaishi huko
Angekuwa mgonjwa angemshika kiuno kabisa.What if kama mmoja wao no mgonjwa na anasaidiwa kutembea? Ila aliyewaona anajua zaidi. Point in kuwa tusiconclude kila kitu kwa ushahidi wa upande mmoja.
Ninunecha umbea
UHAME UENDE WAPI MKUULeo niwe upande wako tu..ni maajabu kweli hayo,nadhani mda umefika sasa mimi kuhama dasilamuu haha
Chato naona kumekaa poa sana,bank,mataa kila kona n.kUHAME UENDE WAPI MKUU
please babeNinune