Habali wakuu nimeleta Uzi unaosimama upende sahihi WA wake zetu sisi wanaume, sina shida na wapenzi nasema na walio ktk ndoa, wanaume sisi sio waaminifu kabsa mwanaume tumekua wasaliti sana, tufikilie maumivu tunayo yapata sisi tukisalitiwa hata wao huumia hivohivo, naomba tubadilike wana ndoa