Wanaume ndo wenyeharaka ya kufanya sex?

Ha ha ha..... Uvinza si ipo kigoma,
Afu Kigoma si ndo mwisho wa reli,
Kwa hiyo uvinza ni Kigoma,
Yaani Uvinza= Mwisho wa reli
Basi kuna umuhimu wa kwenda mwisho wa reli!

Ha ha ha ..... mathematicians nitengenezeeni equation basi!

Equation sio hesabu tu ni logic!
 
Hiyo ni adhabu aliyopewa Eva/ Hawa baada ya kula tunda la mti wa kati na kutoandikwa kwenye Bible kuwa na hamu ya ngono itachelewa na kileleni kutofika kuliko Adam na usipoangalia utaendelea kuambulia patupu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mimi Uvinza hata kwa bunduki siendi...ila kuna mautundu mengine ntakupa hadi uchanganyikiwe.
 

hongera sana suzie,
sijui ni wangapi tu wameshapita hapo kwako,
kabla hujampata huyo mlambaji mzuri,
lol..kweli atafutae hachoki, akichoka keshapata!!!!!!!!!
 

dah, ashakhum si matusi!!!!!!!!!!
 
umecopy na kupest my mind!!!
 

hapa umenena dada, romance huwa zinawachanganya sana wadada. ukimpa romance za kutosha ukija ukapanda jukwaani
huwa wana enjoy sana na utapewa vyote mpaka utafurahi
 




tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe !!!!!!!!!!!! nimeipenda kweli Suzie.
 
Haaa hao hawajakutana na Chatu Mlamba mtu!
Analamba hadi mate yanamwisha mdomoni!
Analamba sehemu zote hadi Mtoto macho yageuke nyanya na mdomo ujae zege hadi kuomba maji anasema naomba Mma!!!



Ama kweli kazi ipo nazani hao wa sweden inabidi waje bongo wapate hizi lecture za ukweli!
 
Ni kweli, wanaume sijui ndio wanazidiwa haraka. Lol.
 

bora wewe umenena
 
Haaa hao hawajakutana na Chatu Mlamba mtu!
Analamba hadi mate yanamwisha mdomoni!
Analamba sehemu zote hadi Mtoto macho yageuke nyanya na mdomo ujae zege hadi kuomba maji anasema naomba Mma!!!

I wish ningekua mimi.....
 

Umenena Vyema...
 
tatizo dude likisimama linasumbua sna tufanyaje zaidi ya kutupia kete mapema
 
yeah it is true that men ndo wengi wao wana haraka ya sex,esp b4 marriage hasa kwa mapenzi ya sasa full kuchakachuana....it daznt bring a gud pic kwa a chick akichakachua b4 ndoa coz takwimu zinaonyesha 99% ya teens na twenties relationships hazidumu hadi ndoa...bt hata cc galz 2nachangia coz mara nyingi tukiwa na wabwanga wetu tunavaa vi2 vya ajabuuu....mi naviita braka braka things....but kwa kuwa mi bado cjafikia that stage ya dating,...acha niwaachie walio-experience waseme....:happy:
 
Umeandika nini sijakuelewa .

 
mim hata huyo mpenz sina,ila siamin kama maeneo yale yanafanyiwa usafi wa kiba hadi yakawa safi kias cha kulambwa.......nimewah kumuona mtu ameukwaa ugonjwa wa fangas za mdomo
Mh mkuu ina maana hujawahi kutana na safi hadi unasinzia hapohapo?
 


Hahahahahaha we Suzie we! taratibu! huku si jukwaa la wakubwa! LoL! 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…