Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Wema usizidi uwezo,
samtaims siwaelewi wanawake wa namna hii, jitu halina kipato, jitu lina watoto watatu, jitu lina umalaya uliokubuhu... Mtu bado unaomba ushauri, ushauri gani kama sio ujinga kung'ang'ania ukimwi tu!!!
Hana huruma hata kidogo naasipoangalia atamuuwa kwa ugonjwa H I V achananae mpe rabo yake aende kwa hao malaya wake ,usimuonee huruma hata kidogo
lakini naomba uendelee kuwalea hao watoto
Mungu wangu! yaani wanaume wa aina hii wapo wengi sana, hivi leo kuna rafiki yangu ametoka kunisimulia kisa kinachofanana na hiki. Cha kufanya sio kuendelea kumuonea huruma huyo amfukuze bila huruma, ila hao watoto aendelee kuwasaidia Mungu atamlipa. Lakini inauma sana!
Wema usizidi uwezo,
samtaims siwaelewi wanawake wa namna hii, jitu halina kipato, jitu lina watoto watatu, jitu lina umalaya uliokubuhu... Mtu bado unaomba ushauri, ushauri gani kama sio ujinga kung'ang'ania ukimwi tu!!!