Hongera sana mke kama huyo,hajui kibamia,hajui hogo wala mguu wa mtoto ya kwako ndo kila kitu..tena hata kukojoa hakujui (trust me)unless uwe unamridhisha wewe mwenyewe uwe mtaalamuYaani akili yako hiyo na ya wife wangu zinafanana aisee, mimi ndiye niliyefungua na ndio nipo nae mpaka sasa.
Hhebu nitokeaa hapa sijajifunzia mapenzi ukubwani kama ww so ukae ukijua kwenye mapenzi kuna off and on kibao nikae naye mpaka sasa ili tufungue shule au??Toka O level Mpaka sa hivi... We si malaya sasa huyo wa O level yupo wapi si ungeendelea naye
We ni malaya usilalamike......Hhebu nitokeaa hapa sijajifunzia mapenzi ukubwani kama ww so ukae ukijua kwenye mapenzi kuna off and on kibao nikae naye mpaka sasa ili tufungue shule au??
Mwenzangu kuna jirani yangu ndo mwenye mambo hayo aliolewaa akiwa na miaka 15 kuanziaa hapo hajawah lala na mwanume yoyote kabaki anazalishwa kilaa siku eti anasema akimnyima mumewe atapewa na wengine na kutumiaa njia za uzazi wa mpango ni dhambi eti ustake kujua ana watoto wangap wanaofatana kama kumbi kumbiHongera sana mke kama huyo,hajui kibamia,hajui hogo wala mguu wa mtoto ya kwako ndo kila kitu..tena hata kukojoa hakujui (trust me)unless uwe unamridhisha wewe mwenyewe uwe mtaalamu
Pale kazini kwetu kuna siku tuluanzishaga maada hizi za wanawake kukojoa kwenye majamboz jamani kuna mdada hajui chochote kile na hajawahi hata kusikia ndo kwanza siye katuskia
Ye anajua mwanaume anaingiza na kutoa akikoja mwanaume baasi!mtu km huyu hata kisindano hakijui!sio bamia!
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]huyo mjinga sasa!!yaani asili ya mwanaume wake wengi ,japo wanaambiwa wasizini!Mwenzangu kuna jirani yangu ndo mwenye mambo hayo aliolewaa akiwa na miaka 15 kuanziaa hapo hajawah lala na mwanume yoyote kabaki anazalishwa kilaa siku eti anasema akimnyima mumewe atapewa na wengine na kutumiaa njia za uzazi wa mpango ni dhambi eti ustake kujua ana watoto wangap wanaofatana kama kumbi kumbi
Nimefunzwa mapenzi nikiwa.mdogo saana 15yrs nahisi na nimefunzwa namna ya kumuhandle mwanaume wa aina yoyote so tak it in ir mind kwenye swala la chumbani aiseee labsa niamue mm kutokukupa unachostahili lakin otherwise i knw wht im talknUnaweza kuwa mzur lakn sio romantic kitandan ,, kitu ambacho wanawake weng wanajiona ni wazur wana kasoro hii,,
Ningekuwa nazo nisingekuambia ww ni malaya... Maana Malaya hana Ladha mwanaume wanajipigia wanaondoka hana muda wa kukuridhishaHuwezi nielewaa kwakuwa una sifa nilizotajaa
Fanily naomba mechi ya kirafik na ww kama hutajar......Hamna uzee wala nn naniii sihui hazina staminaa hata nashindwa kuelewaa mnakwama wap
Ninavyoandika hapa ana katoto kachanga ka siku mbili unaweza nielewa ninachomaanisha[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]huyo mjinga sasa!!yaani asili ya mwanaume wake wengi ,japo wanaambiwa wasizini!
Mwanaume km mtoto atakula kwako na kwa jirani ataenda dowea tena hyo kuzaa sana ndo inamgharimu sasa!kipindi cha uzazi kile...anaibiwaa
Ndo kazi za Malaya...Ssijawah achwaa mi ndo naachaa maanake natafuta kitu roho inapenda
Aaaaahhh mambo gan hayo tena jaman ....Msimu wake ushaishaa boss tunasubir final jumapili
Yani O-level ndio zamani?...kazi kweli kweliZaman ilikuwa raha saanaa unafikir ni sasa hivi ...zamani nikiwa o leve ukipata danga ni danga kweli yaan ukilaa hela yake lazima change irudi ila wa siku hizi mpka upepee khaaa
Hivi huwa hamjui sisi hamu yetu inakata in 2 minutes! Muda mwingine huwa tunawastil nyie, ndiyo mjue hatukomolewi sisi.Wakupata tabu ni nyiee sisi wenzenu tupo fit 24/7