Wanaume siku hizi bila starter kitandan mtaishia kucheza mdako?kwan mnakwama wap?

tatizo unakutana na wanaume wa dar. Wanaume wa mikoani hatuna mambo ya ajabu ajabu kama hayo. Wanaume wa mikoani chatu wetu akiamka kifuatacho ni kipigo cha mbwa koko
 
Hivi tangu nipo olevel ,a level,jeshini,chuo unategemea nimeliwa na mtu mmoja??hell no ni zaidi ya uzijuavyo though sio nyingi
Kama ngapi labda kwa mfano?,elfu kumi wanafika mkuu?
 
Tatizo wanawake sikuhizi mnatuua na stress kwani ukuomba tu mechi Basi shida zote unaambiwa,kwa mtindo huu unakuwa unawaza jinsi ya kutatua hayo matatizo na ndo inapelekea mechi kuwa dhaifu.punguza mahita subiri vishindo!
 
Nimefunzwa mapenzi nikiwa.mdogo saana 15yrs nahisi na nimefunzwa namna ya kumuhandle mwanaume wa aina yoyote so tak it in ir mind kwenye swala la chumbani aiseee labsa niamue mm kutokukupa unachostahili lakin otherwise i knw wht im talkn
Hii comment yako imenisisimua sana Mambembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…