Wanaume sio ATM!!!

yuko kwenye sredi la mohammed shossi. hapa nazani anamkimbia michelle. si unajua ATM ya hashy imeisha betri?

Yule hata akiishiwa atabaki kuwa wangu tu,nampenda kwa kila kitu na kila hali.....siwezi kuelezea jamani...HASHY I MISS YOU LV!!!!!
 
Uporoto01 bado underground inabidi apige sana mazoezi ya vina na sauti

We Fynest wewe:decision:.....sasa mazoezi si tunafanya pamoja!!!!Mi ndo wakumwambia kama kapatia au kaboronga!!!
 
We Fynest wewe:decision:.....sasa mazoezi si tunafanya pamoja!!!!Mi ndo wakumwambia kama kapatia au kaboronga!!!
Siku yangu ya leo itakuwa nzuri baada ya kusoma hii,thanks dearest.
 
Michelle hujambo laaziz?

Unajua babu alivokumiss au unacheza na keyboard tu hapo?
Weeee mzeee koma kabisa kumuita hilo neno otherwise utachezea :boxing::boxing::boxing::boxing:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…