Kuna dada mmoja tunafanyanae kazi alisema namshangaa sana fulani anakuja kunitongoza huku kavaa pete ya ndoa na anategemea kabisa nimsikilize,sasa wewe unakuja kuongea na Lizzy na hapo chini umeandika Miss U AD ,think TF think.Mie hapo chini nimewaweka Machinga.
Tatizo baadhi ya kina kaka hata ukitaka kula kiazi anakulazimisha ule pizza eti sababu anazo. Mnaweza kukaa hata chini ya mwembe mkaongea, hataki anataka mwende beach. Kisha pembeni analalamikia matumizi makubwa na akichacha kidogo anakukwepa kinoma. sio ATM lakini wabadilishe tabia
Dah!!! Ndio umeamua kuua mazima kabisa l.o.lKuna dada mmoja tunafanyanae kazi alisema namshangaa sana fulani anakuja kunitongoza huku kavaa pete ya ndoa na anategemea kabisa nimsikilize,sasa wewe unakuja kuongea na Lizzy na hapo chini umeandika Miss U AD ,think TF think.Mie hapo chini nimewaweka Machinga.
AD Come back please, AD Come back please hivi nitanyanyasika hivi hadi liniHahahaha Fynest nadhani ujumbe umekufikia bila chenga!Asante dearest!
She will be here soon.....very soonBe a go getter...and go get your girl!
Kuna dada mmoja tunafanyanae kazi alisema namshangaa sana fulani anakuja kunitongoza huku kavaa pete ya ndoa na anategemea kabisa nimsikilize,sasa wewe unakuja kuongea na Lizzy na hapo chini umeandika Miss U AD ,think TF think.Mie hapo chini nimewaweka Machinga.
Kuweni wakali!ni kweli kuna wanawake wanakera, hivi kwanini wanawake wajirekebishe na kuishi maisha ya kujitegemea, alafu sababu ya kwenda na rafiki kwenye appointment kunaonesha kutokukomaa na kujiamini, kwa nini usipange sehemu ambayo unahisi utakuwa comfo ili kuepusha rundo la watu nyuma yako, and by the way mambo unayoenda kujadili huko sio matangazo ya vifo ambayo kila mtu anatakiwa kujua. jifunzeni kujitegemea na muache kubandika wanaume majina ya ajabu.
Aah mamii za siku mob ?nilikua nakutafuta,kumbe uko huku.'we need to talk'.