Wanaume sio ATM!!!

Lizzy dearest.......mi appreciate this thread,have nothing to add to your wisdom......i hope you are well today!!!

how are you Michelle...lets go...nionyeshe Pauline alipo?:sick:
 
Utadhani ndo wewe uliyekua upande wa pili wa meza Fynest!!!Mzima lakini mchumba wa muda???Lolzz!!!
Salama kabisa mchumba wa muda baadhi ya wadada inabidi wawe wastaarabu kama huyo msichana aliyependwa na rafiki yako ameishapoteza bahati kwa mambo aliyoyafanya.
S
 


Nimechoka kabisa
 
Kweli usawa huu watu wanaangalia umuhimu wa mtu na sio starehe.
 
how are you Michelle...lets go...nionyeshe Pauline alipo?:sick:

Am fine Kaizer,how are you? una kifaa kipya kinakula ATM nini mbona una beep sana siku hizi hapa JF?isije ikawa kimelamba hadi hela ya internet? manake sisi wapenda ATM tunajua kuzichota haswaaaaaaaaaaaa......l.o.l
njoo nikupeleke Pauline alipo!!!:laugh::laugh:
 
Mweeee!!
 
Mhh. What kind of support ? hapo mwenye akili yake moja kwa moja anjua msindikizaji ndiye decision maker, wakitoka hapo mhusika ata draw conclusion kutoka kwa msindikizaji (i.e mwnye kusindikizwa hana maamuzi juu ya mambo yake mwenyewe)-lol
 
Mhh. What kind of support ? hapo mwenye akili yake moja kwa moja anjua msindikizaji ndiye decision maker, wakitoka hapo mhusika ata draw conclusion kutoka kwa msindikizaji (i.e mwnye kusindikizwa hana maamuzi juu ya mambo yake mwenyewe)-lol
Hapo kuna ukweli ndani yake. Kama muhusika bado hana uhakika na anahitaji convincing, omba mungu msindikizaji awe upande wako.
 
Hata usiwateteee.wengi wao wanapenda wenyewe kwa hiari yao kuitwa ATM.Tena wanashindana kabisa ili waonekane ATM ya Barclays na sio NMB.
 
Mimi nakubaliana na V of R kuwa sio vibaya mwanamke akija na shoga'ke kwenye date ya kwanza ili aweze kusaidia kumthaminisha jamaa aweze kumshauri baadae kama atamfaa baada ya hapo inabidi aje peke yake lakini hili la vocha kila kukicha alafu hapigi inaboa na mwimbaji MR.Paul aliimba kwenye wimbo 'dola kumi kila simu waishia kunibipu wampigia nani' ?
 
Utadhani ndo wewe uliyekua upande wa pili wa meza Fynest!!!Mzima lakini mchumba wa muda???Lolzz!!!
Hi dearest,can you explain tu me this 'uchumba wa muda' thingy in simple english please lol!
 
I know you hate me now than anyone here . . . .:coffee:

mmmmhhhh not really,sema umeusoma udhaifu wangu and unautumia kuniangusha.....kwa kunichokoza every now and then......:A S 20::A S 20:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…