Wanaume someni inawahusu

Ayana

Member
Joined
Jan 7, 2013
Posts
12
Reaction score
5
Napenda kuchukua nafasi hii kuwaonya wanaume wanaoleta mambo ya utani katika sehemu hii muhimu. Binafsi sijapenda kabisa na tabia yenu mnayoionyesha kwa wanawake/wadada. Kama hamna nia ya kutafuta wanawake mkae kimya, sio kuleta utani jamani. Pili kama umeonana na mwanamke then ukaona hana sifa just mwambie ukweli kuwa sijavutiwa na wewe kuliko kunyamaza kimya na kumfuatilia kumbe lengo lako ni kumla na kumwacha. sijapenda tabia hiyo. Sio kwamba imenitokea mimi lakini nimechunguza asilimia kubwa ya wanaume hapo jf hawako serious just joking.
 
Teh teh teh kweli aisee...ukiona manyoya ujue keshaliwa uyoo........
 
asante lakini kosa ni lako na sio wanaume....ukianza kutafuta mwenza online umekubali yote...kutakauwa wanaotaka kukugegeda na wapo kweli wanataka kuoa. hivyo ni jukumu lako weye kutumikisha mayyele ya mukichwa yako....
 
Pole. Ila na wewe jifunze kusoma alama za nyakati!
 
Mmmh... Usikate tamaa dada.. Utampata tuu mmoja aliye siriaz..!
 
Mwanangu Ayana hebu tuliza boli. Umefanya utatifi lini na wapi na matokeo yake ni yapi kisayansi? Sioni pwenti humu zaidi ya malalamiko yako binafsi ambayo umeyatolea hitimisho la jumla.
 
 
Mwanangu Ayana hebu tuliza boli. Umefanya utatifi lini na wapi na matokeo yake ni yapi kisayansi? Sioni pwenti humu zaidi ya malalamiko yako binafsi ambayo umeyatolea hitimisho la jumla.

Mwambie aelewe sio anakurupuka kurupuka hata mdomo hajaswaki!!!!!!!!
 


Hapo kwenye red pamenichekesha.

Unajua aisifiae mvua ujue imenyeshea.

Otherwise you got a point here.
 
Uko sawa Ayana,, kama utapenda ni PM nikueleze kwa kirefu kinachosababisha wengi wakupotezee muda
 
Sasa Ayana mambo gani hayo? Mbona unakana kwamba sijakugegeda? Umesahau siku zile nilivyokugegeda 2lipokuta naniliu? Tatizo lipo kwako, ulishndwa kunipa nilichokitaka ndo maana nikakukimbia.
 

Hapo kwenye red: ni muda gani umetumia kuwachunguza wana JF ikiwa hii ID unayotumia ni mpya? Hii inanipa picha kwamba wewe ni mwenyeji humu kwa ID nyingine na umegegedwa(mzabzab terminology) na kutelekezwa na mwana JF hivyo ukaona sio busara kulalamika kwa kutumia ID yako kongwe, ukaamua ku-register ID ya dharura.
Pole sana, kuwa makini.
 

Ukiona mwanamke anatafuta wanaume ujue jua linaelekea ukingoni. Acheni dharau kwa manunda, haya mapovu yote ni matokeo ya kukataliwa hadi mnakimbilia kutafuta hifadhi mitandaoni.

Kama hatuna nia ya kutafuta wanawake.....tehe tehe tehe...tuwaachie wenye nia, eti?!

Kweli dunia inaelekea kubaya. Sasa unajifanya kuwa haijakutokea wewe mbona basi umekuja na ID mpya?

Kaa vizuri na watu mtaani kwako utapata mchumba. Maswala ya kujitangaza kama bidhaa ndio yanawafanya msiheshimike. Au kama mtaa umeugaia mpk umekuona public toilet hamia mwingine
 
Heh heh. Hivi hujui kazi ya mwanaume ni kula? WW ukijweka vibaya hata kama una sura mbaya unaliwa. Na kuliwa sio kupendwa ati. wanaliwa weeeengi anapendwa mmoja. Just FYI.
 
Kweli kuna watu hamtanii kwenye kazi, mmemgegeda kipusa mpaka ameamua kutoa PUBLIC WARNING kwa ID mpya.

Hata nyinyi wenyewe (akina she) mnatakaga kugegedwa tu hamna lolote. Hivi mtu kweli unaweza kumpata mume au mke mnadani?
 
Huo utafit uliufanyaje mwenzetu.?! Sema yamekukuta tu!!

Wenzako wasiojua kusoma, hutizama picha na kuelewa mara moja, sasa wewe mwenzangu unasubir uambiwe ''HUJANIVUTIA'' tena sehem yenyewe umeingia mzima mzima, NI NGUMU.
 
Siye wa ukweli hutupi hata namba haya bw

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…