The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Hivi kule Tandale kwa Tumbo na Kwa Mtogole au yale maeneo ya Manzese Midizini hakuna mwanaume au mwanamke faivu star??dah! JF bana! yaani mnaishi uswahilini halaf mnataka mkutane na wanaume faifu star? solution ya hii sredi ni fupi sana. "ondokeni uswahilini"
sredi klosed
una maana kama asha baraka sio??wapo wengi aisee. Nenda kwenye mikutano ya kile chama cha kijani uone waliokaa kwenye jukwaani.
i thought hao wanaitwa vicheche.. Khe khe heheheeeeee,wapo mkuu, vibaka ajabu. Wanaiba mpaka used kondom.
Ukute hata binti wa watu hamjui unasikia pale nimegonga mara yule tayari nimepitia..Ili mradi mbele ya wanaume wenzake aonekane kinara.
Wanaume wa aina hii wanapenda kut********* midomo tu hamna zaidi na kudhalilisha wanawake kwa kuwapakazia uongo.
Nimeshamsuta mmoja mbona alinikoma mbele ya rafiki zake..sikumbakishia hata kidogo mana alikuwa amezidi kuharibu profile za watu makusudi.
aswadakta...una maana kama asha baraka sio??
labda awe amekwenda kutafuta hauzigeli au hauziboy, adhawaizi hakuna. nasisitiza hakuna.Hivi kule Tandale kwa Tumbo na Kwa Mtogole au yale maeneo ya Manzese Midizini hakuna mwanaume au mwanamke faivu star??
dah! hii ni new release kwangu, acha nigoogle. hehehei thought hao wanaitwa vicheche.. Khe khe heheheeeeee,
sasa na wanawake ufudu je?
Hivi kule Tandale kwa Tumbo na Kwa Mtogole au yale maeneo ya Manzese Midizini hakuna mwanaume au mwanamke faivu star??
Na wengine wanapenda sifa ile aonekana kwamba yeye ndio kidume
tena ukute amepita mdada mzuri akasifiwa utamsikia huyo hana kitu nilishapita hapo
kumbe alitongoza akatolewa nje. upuuzi mtupu
Hommie nilijua tu baada ya kuona hii comment popote pale ulipo lazima utimbe ahaaa ahaaa mimi najua wanawake fivu star wanapatikana pale TIP TOP l.o.lMwanamke faivu star umesikia ana alama?
Lizzy pole
yamekukuta ila nakuaminia una mabusara mengi ya kuhandle conflicting matters.
umegenerize kwa kuomba ruhusa hongera, now hawo jamaa wamesoma fani gani nipate raha mie.
Hommie nilijua tu baada ya kuona hii comment popote pale ulipo lazima utimbe ahaaa ahaaa mimi najua wanawake fivu star wanapatikana pale TIP TOP l.o.l
kumbe hili li sredi anapigwa dongo mtu?, dah! mchizi kachemsha! kama member wa JF acha nikamsubirie jukwaa la introduction, atakuja na ID mpya muda si mrefu.Heheheh....we acha tu mpendwa!!
Alafu wakati naanza kuandika hii post akaja nilipo na kuanza kuniambia hajasema chochote maana nilishamuuliza.
Na wengine wanapenda sifa ile aonekana kwamba yeye ndio kidume
tena ukute amepita mdada mzuri akasifiwa utamsikia huyo hana kitu nilishapita hapo
kumbe alitongoza akatolewa nje. upuuzi mtupu
Heheheh....we acha tu mpendwa!!
Alafu wakati naanza kuandika hii post akaja nilipo na kuanza kuniambia hajasema chochote maana nilishamuuliza.
Lizzy,
Hivi wewe umefahamu vipi au una uhakika gani kwamba Mr.X and Mr. Y ndiyo wansambaza haya maneno:-
"..fulani niko nae.."
".. fulani nimetembea nae.."
"..fulani namjua sana kafanya hili na lile.."??????
Kwa taarifa yako tu.. Kama umeambiwa na Mwanaume mwingine (Mr. Z) ku Mr. X or Mr Y anakusema hivi na hivi, fahamu fika kuwa huyo Mr. Z anatumia hiyo kama "gear" ya kukutongoza au kama umeambiwa na Mwanamke (Ms A) fahamu fika kuwa anataka "kukuzibia riziki"!
It is very SAD kwamba Msichana anapokuwa kwenye urafiki wa "kawaida" na Mr.X or Y, Mr. Z na wengineo ambao walishawahi kukataliwa huwa wanajisikia vibaya to the extent ya kuanzisha propaganda kama hizo ulizoziandika, ili mradi tu waharibu regardless. Also kwa wanawake wengine ambao siyo "likeable" kama Ms A, huwa wanajisikia vibaya sana kuona Lizzy anakuwa na urafiki na wanaume regardless.
My Advice: Acha kusikiliza UMBEA wa mtaani, kwa maana hata Papa Paul II aliwahi kusema kuwa "Stupidity is also a gift of God, but one mustn't misuse it
Lizzy,
Hivi wewe umefahamu vipi au una uhakika gani kwamba Mr.X and Mr. Y ndiyo wansambaza haya maneno:-
"..fulani niko nae.."
".. fulani nimetembea nae.."
"..fulani namjua sana kafanya hili na lile.."??????
Kwa taarifa yako tu.. Kama umeambiwa na Mwanaume mwingine (Mr. Z) ku Mr. X or Mr Y anakusema hivi na hivi, fahamu fika kuwa huyo Mr. Z anatumia hiyo kama "gear" ya kukutongoza au kama umeambiwa na Mwanamke (Ms A) fahamu fika kuwa anataka "kukuzibia riziki"!
It is very SAD kwamba Msichana anapokuwa kwenye urafiki wa "kawaida" na Mr.X or Y, Mr. Z na wengineo ambao walishawahi kukataliwa huwa wanajisikia vibaya to the extent ya kuanzisha propaganda kama hizo ulizoziandika, ili mradi tu waharibu regardless. Also kwa wanawake wengine ambao siyo "likeable" kama Ms A, huwa wanajisikia vibaya sana kuona Lizzy anakuwa na urafiki na wanaume regardless.
My Advice: Acha kusikiliza UMBEA wa mtaani, kwa maana hata Papa Paul II aliwahi kusema kuwa "Stupidity is also a gift of God, but one mustn't misuse it
Hebu fafanua hii heading.. Wanaume wa hivyo ni wanaume suruali, au wanaume wa hivyo wanatakiwa wabadilike wawe wanaume suruali?