Mpendwa umeongea point tupu.
Ila mimi sio wakusikiliza maneno ya watu tu na kuyachukua kama yalivyo.Huyo aliyeongea hivyo hii ni mara ya pili kwa style tofauti....mara ya kwanza nilimwambia tu nimesikia hivi na hivi akasema sio kweli ni wivu wa watu nikachagua kumuamini yeye.Ila nilichosikia mara ya pili imebidi nifikirie kwa kina.
Pluss aliyeniambia kusema ukweli sioni sababu ya yeye kudanganya....
Pole naona yamekukuta
Kuwa makini urafiki huwa unakuwa na mipaka yake kama unabususiana ovyo ovyo na njemba lazima lijigambe kuwa linakaribia kutembea na wewe wengi wenu wanawake mnashindwa kulinda mipaka ya urafiki na wanaume unajikuta unasogeza vitu mpaka jamaa anaanza kubambia bambia.
Sijambo x-St...
Mhh hao kina Mario bado kukutana nao!!Leo ni hawa kina maneno!!
Teh teh teh utasikia huyo bwawa huyo akivua tu kufuri chumba kizima mbu na buibui wanakimbia hahahaha
dah! JF bana! yaani mnaishi uswahilini halaf mnataka mkutane na wanaume faifu star? solution ya hii sredi ni fupi sana. "ondokeni uswahilini"
sredi klosed
hahahahahahaha inau kweli ndani yake
sasa inakuwaje pale unadhalilisha na sio ukweli
Kwani Belinda mtu akisema ameshafanya na wewe mapenzi, ni kukudhalilisha? Mapenzi si kitu kizuri, au?
Hivi wadada katika stori zenu hampeani stori kuwa, 'mwanaume fulani tayari nilishaenda naye', 'boss fulani tulishaenjoy malavidavi', 'yule dereva mtamu sana aisee',n.k? l.o.l
Though that did not happen in this case....haina maana ikiwa hivyo ndo mtu akapige domo mtaani!
Lizzy yashanifika haya sina hamu ,huwa najiuliza sijui wengine domo huwa zito matokeo yake wanaanza kupakaza mbovu..
Ila tabia hii ni mbaya sana
Na kwa nini ukasema unamfurahisha nani
Kama sio kweli kuna uzuri gani???
Na kama umemkataa that means hajafikia kiwango....alafu akatangaze mtaani amefikia?:bored:
khaaaa! leo inaonekana watakoma walompakazia Lizzy. yaani post zinadondoka kama mipasho ya talabu?Muone...sura kama uswahilini!!!
UngaLTD hamna uswahilini wewe!!Alafu hao faifu star ndo wapigaji domo wazuri maana wanadhani wanaweza kumpata mwanamke yeyote...basi ukimkatalia tu inabidi ajisifie uongo ili aonekane kwamba kweli anaweza.
Hahahahaha hapo ujue jamaa ana matatizo katika ubongo wake au hata kutongoza hajui.
UMBEYA, UDAKU, UONGO, UNDUMILAKUWILI; KIDOMODOMO ni tabia mbaya kwa yeyote, iwe mwanamme au mwanamke, lakini inakuwa mbaya zaidi iwapo mwanamume anafanya umbeya -au vyovyote uuitavyo- iwe kwa wanawake au kwa wanaume wenzake. Hili haliwapi kibali wanawake kufanya umbeya. Ni tabia chafu. Mbali ya ujinga na ushamba, kuna dalili za Utoto na Wivu. La mwanzo linakubalika ikiwa wanaofanya hivyo ni watoto, lakini la pili ni "too, even four much".Lizzy,
Hivi wewe umefahamu vipi au una uhakika gani kwamba Mr.X and Mr. Y ndiyo wansambaza haya maneno:-
"..fulani niko nae.."
".. fulani nimetembea nae.."
"..fulani namjua sana kafanya hili na lile.."??????
Kwa taarifa yako tu.. Kama umeambiwa na Mwanaume mwingine (Mr. Z) ku Mr. X or Mr Y anakusema hivi na hivi, fahamu fika kuwa huyo Mr. Z anatumia hiyo kama "gear" ya kukutongoza au kama umeambiwa na Mwanamke (Ms A) fahamu fika kuwa anataka "kukuzibia riziki"!
It is very SAD kwamba Msichana anapokuwa kwenye urafiki wa "kawaida" na Mr.X or Y, Mr. Z na wengineo ambao walishawahi kukataliwa huwa wanajisikia vibaya to the extent ya kuanzisha propaganda kama hizo ulizoziandika, ili mradi tu waharibu regardless. Also kwa wanawake wengine ambao siyo "likeable" kama Ms A, huwa wanajisikia vibaya sana kuona Lizzy anakuwa na urafiki na wanaume regardless.
My Advice: Acha kusikiliza UMBEA wa mtaani, kwa maana hata Papa Paul II aliwahi kusema kuwa "Stupidity is also a gift of God, but one mustn't misuse it
mmmh hapana hapa kuja jambo,Heheheh....we acha tu mpendwa!!
Alafu wakati naanza kuandika hii post akaja nilipo na kuanza kuniambia hajasema chochote maana nilishamuuliza.