mwambie uyo,anafkiri tunakurupukaga tu[emoji35]Kwani na sisi tutaingiaje geto na kademu kama kawewe ili iweje sasa.....? au kuangalia mpira. Sisi tunaingia gheto na watoto mashalaah wenye sura zao na vyura vyao.
DONE...!
IdrisKama anatumia zile simu hakuna betri Samsung A3 au iPhone inakuwaje hapo
Hamna cha kukata waya kama najiamini ninajiamini tuKata waya jombaa yasikukute
Sony xperiaWhat if ni Non-removable battery?
ndio hapo sasaSony xperia
Weka kwenye mifuko ya nguo zako ulizovua bila yeye kujua baada ya kuizima.What if ni Non-removable battery?
Ghairi game, maana atakua na mpango wa ku-hamisaNa je kama hataki
NuktaKwani na sisi tutaingiaje geto na kademu kama kawewe ili iweje sasa.....? au kuangalia mpira. Sisi tunaingia gheto na watoto mashalaah wenye sura zao na vyura vyao.
DONE...!
tehehe teh [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ghairi game, maana atakua na mpango wa ku-hamisa
Unaipiga ukutani.What if ni Non-removable battery?
sio njia sahihi hiyoUnaipiga ukutani.