Wanaume tuliowahi kula mtungo na wanawake mliowahi liwa mtungo tupeane uzoefu

Kumbe castle lite ya mda hivoooo??. ...Anyways nyie ni mashetani
 
Mwaka 90 teknolojia ya sms haukuwepo
 
castle light kumbe zilikuwepo kitambo eee
 

Kumbe castle lite zilikuwepo miaka ya 90
 
Mkuu miaka ya 90 castle light zilikuwepo?
Jamaa kabumba sana. Angesema Kibo gold au serengeti hapo sawa, ila kwenye simu miaka hiyo simu (mobitel) zilikuwa chache mno, dollar zilikuwa zinanunuliwa kwa foleni pale karibu na KAMATA.
Mwaka 1999 kwenye msiba wa Nyerere nilikuwa na Nokia (mche wa sabuni) kwenye mfuko haikai kwa ukubwa
 
Hahaha jamaa kaamua kutupa kahawa bila kashata
 
...Punguzeni Nongwa Wakuu! Nusu na robo nzima ya Kuchangia Uzi inahusu Kuhakiki Simu na Kinywaji alivyosema muweka Bandiko??[emoji848][emoji848]
Acheni hizoop!![emoji16][emoji16]
 
Late 90's kilikua na castle light bongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…