Wanaume tuna cha kujifunza kwa P Diddy, mali zake zote ameandika majina ya mama yake na watoto wake

Wanaume tuna cha kujifunza kwa P Diddy, mali zake zote ameandika majina ya mama yake na watoto wake

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Baniani mbaya kiatu chake dawa.

Si kila mwovu hakyna cha kujifunza kwake la hasha.

Hii tabia ya matajiri kuandika mali zao majina ya mama zao au watoto inasambaa sana na ni kitu wanaume tukifanyie kazi haraka kuepusha ndoa za wanawake matapeli

Nje ya mada enzi zile late 1980s nikiwa mnazi mmoja primary schoolna Haji Manara na Kitenge,kuna mwamba mmoja akiitwa Maumba, akiwapaka nafuta sana mabinti wa shule ya msingi Mnazi Mmoja, Lumumba na Mtendeni.

Ilikuwa ni orodha ndefu sana.
Yule mwamba alimzidi hata P Diddy sema jamaa alikuwa fundi cherehani, hakuwa na mali ya kumfirisi kulipa fidia.

Enzi zile sheria ya miaka 30 au kifungo cha maisha kwa makosa ya ubakaji haikuwepo.

Nasikia jamaa alitoka jela na kumrudia mola wake akiendelea kushona nguo mitaa ya Magomeni,ameshazeeka
 
Dadeki kama p.diddy asingekuwa na kesi mahakaman na akatoa ndoa nadhani ndio angesikilizwa kuliko msanii yeyt yule kwa maana jamaa kapata umaarufu mara mbili zaidi ya mwanzo.
Lakini pia huu ndio muda wa diamond kutoa ngoma atazamwe zaidi
 
Dadeki kama p.diddy asingekuwa na kesi mahakaman na akatoa ndoa nadhani ndio angesikilizwa kuliko msanii yeyt yule kwa maana jamaa kapata umaarufu mara mbili zaidi ya mwanzo.
Lakini pia huu ndio muda wa diamond kutoa ngoma atazamwe zaidi
Diamond itamuangusha kisaniii,apige kimya kwanza,,wahuni mbeya wameshamoa jina eti mje wap diddy
 
Back
Top Bottom