Huwezi amini kuwa katika tafiti zilizofanywa inaonyesha 99% ya wanawake do fake orgasm. Katika pita pita yangu nimekutana na nukuu hii:"I'd really like to try to have an orgasm tonight.""What do you mean. Don't you always?""Hmmm...no.""You have been faking it!""Yeah, sometimes.""How many times have you faked it?""Uh....over twenty.""Twenty times!!?""No, over twenty years."source: http://www.associatedcontent.com/article/395600Sasa huu ni udhaifu wa wanaume kutowafikisha au umahiri wa kina mama kutokufika huko kwenye mlima wa chocolate. nawasilisha wakuu.
Labda kama ni mgeni wa mapenzi
Tena kwa wanawake wengi wa TZ utawagundua tu
Nilipelekesha mwanamke mpaka aka . . . . . acha tu
Akafanya nini?????Káma unatoa ushuhuda toa mzima mzima!!
Alafu inawezekana hata hicho alichofanya alisingizia ili ujione umemaliza kazi*!!
Hapa kuna watoto wadogo, huwezi ukatoa ushuhuda wowote waziwaz, hasa wa kimahusiano
Hivi unaweza ukasingizia kitu ambacho kikakusumbua wiki nzima, tukakupeleka hadi hospital na ukadungwa sindano???
ahahahahahaaaaa....hivi ukimfanya mwenzio hadi ukamuumiza (kwa either kuwa na dudu kubwa kupita kiasi au kwa maandalizi mabovu hata asitokwe ute wa ukeni) kesho akapelekwa hospital inamaanisha kuwa "ulimfikisha kileleni?"....
naomba kujuzwa juu ya hili..la sivyo naamini kuwa wengi wa wanaume tunaamini katika hayo niliyo yasema..eti "demu alikuwa analia ile mbaya..mara nimemkojoza mara mbili amelia full kulalamikia Uboo etc.....
TUCHAMBUE KWA KINA TOFAUTI YA KUFIKA KILELENI KWA MWANAMKE NA KELELE PLUS MALALAMIKO YA MAUMIVU YA UTIAJI WETU WA KIMABAVU NA KI-MFUMO DUME... NI MAONI TUU