Wanaume tunaishi kwa ajili ya kuiridhisha jamii na familia zetu

Wanaume tunaishi kwa ajili ya kuiridhisha jamii na familia zetu

coder12

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
253
Reaction score
2,303
Ukishakua mwanaume tu, tayari familua wanakusubiri ukue uwakomboe, jamii inakuangalia wewe. Ukiwa na mwanamke au ukioa unategemewa kwa vitu vingi hata kama huyo mwanamke anajiweza. Wengi wetu tunaishi maisha tusiyoyataka na kufanya kazi tusizozitaka ili mradi tu haya majukumu tuweze kuyatimiza. Baba kwenye familia huwa thamani yake haionekani sana, hakuna anaejua wala kujali ni kiasi gani amejinyima na ndoto zake nyingi ameziua ili tu familia iwe sawa. Watoto wanampenda zaidi mama kwa sababu baba mara nyingi hayupo karibu. Hawajui kuwa ndo ameenda kutafuta. Mtoto wa kiume ukishapata mtoto ndo utaelewa baba yako alikua na mchango gani mpaka umefika hapo ulipo.
Kwa mwanaume, sio mvulana(boychild) asilimia 80 kama sio 90 ya kipato chako ni kwa ajili ya watu wengine, hiyo inayobaki ndo ujibalance usurvive nayo. Halafu wanajiuliza kwanini wanaume tunakufa mapema.
Tunywe bia tutoe stress tu
 
Ukishakua mwanaume tu, tayari familua wanakusubiri ukue uwakomboe, jamii inakuangalia wewe. Ukiwa na mwanamke au ukioa unategemewa kwa vitu vingi hata kama huyo mwanamke anajiweza. Wengi wetu tunaishi maisha tusiyoyataka na kufanya kazi tusizozitaka ili mradi tu haya majukumu tuweze kuyatimiza. Baba kwenye familia huwa thamani yake haionekani sana, hakuna anaejua wala kujali ni kiasi gani amejinyima na ndoto zake nyingi ameziua ili tu familia iwe sawa. Watoto wanampenda zaidi mama kwa sababu baba mara nyingi hayupo karibu. Hawajui kuwa ndo ameenda kutafuta. Mtoto wa kiume ukishapata mtoto ndo utaelewa baba yako alikua na mchango gani mpaka umefika hapo ulipo.
Kwa mwanaume, sio mvulana(boychild) asilimia 80 kama sio 90 ya kipato chako ni kwa ajili ya watu wengine, hiyo inayobaki ndo ujibalance usurvive nayo. Halafu wanajiuliza kwanini wanaume tunakufa mapema.
Tunywe bia tutoe stress tu
Hakika mkuu umesema kweli ndio maana mimi inafikia kipindi hela yangu ninayopata baada ya kusaidia kidogo kinachobaki navuta mtoto mkalii na mimi nitumie maana nisipofanya hivyo naweza jikuta ata ile nimeitoa tena msaada

CC Zero IQ
 
Hakika mkuu umesema kweli ndio maana mimi inafikia kipindi hela yangu ninayopata baada ya kusaidia kidogo kinachobaki navuta mtoto mkalii na mimi nitumie maana nisipofanya hivyo naweza jikuta ata ile nimeitoa tena msaada

CC Zero IQ
Hahahahaha. Hakika mkuu
 
Nimesoma vitabu vingi sana hamna mahali nmewahi kuta wakisema "Unywaji wa pombe" unaondoa stress !!
Endelea kusoma vitabu vilivyoandikwa na watu walioishi miaka mingi iliyopita na kufariki, endelea kuruhusu watu waliokwisha fariki waendeshe maisha yako
 
Endelea kusoma vitabu vilivyoandikwa na watu walioishi miaka mingi iliyopita na kufariki, endelea kuruhusu watu waliokwisha fariki waendeshe maisha yako
ha ha ha konkii..wajamwni nyie wanaume mtunze familia n.a. nyie mjitreat mkule bata kidogo nunueni manukato,pamba,saloon mkwende ili mradi mjifurahie tu ....angalizo fanya hayo ukiwa huduma muhimu umetoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishakua mwanaume tu, tayari familua wanakusubiri ukue uwakomboe, jamii inakuangalia wewe. Ukiwa na mwanamke au ukioa unategemewa kwa vitu vingi hata kama huyo mwanamke anajiweza. Wengi wetu tunaishi maisha tusiyoyataka na kufanya kazi tusizozitaka ili mradi tu haya majukumu tuweze kuyatimiza. Baba kwenye familia huwa thamani yake haionekani sana, hakuna anaejua wala kujali ni kiasi gani amejinyima na ndoto zake nyingi ameziua ili tu familia iwe sawa. Watoto wanampenda zaidi mama kwa sababu baba mara nyingi hayupo karibu. Hawajui kuwa ndo ameenda kutafuta. Mtoto wa kiume ukishapata mtoto ndo utaelewa baba yako alikua na mchango gani mpaka umefika hapo ulipo.
Kwa mwanaume, sio mvulana(boychild) asilimia 80 kama sio 90 ya kipato chako ni kwa ajili ya watu wengine, hiyo inayobaki ndo ujibalance usurvive nayo. Halafu wanajiuliza kwanini wanaume tunakufa mapema.
Tunywe bia tutoe stress tu
Kunyweni bia
 
Back
Top Bottom