We nawe kwa kunifuatafuata!Nakanseli hiyo safari nitaenda lia x-mas kwenye milima ya ukerewe!
Mamba umewasahau
Tukitoka huko huwa haturudi
Utawakuta Nansio wanakusuburi
Labda kama si mwenyeji wa huko
Hivi hii kweli hii sentensi ya kweli au miye nimefikiria tu.. ?
Kama wameshindwa kupata working formula, ni kweli haina namna Greece ndo byebye...isipokuwa baada ya Greece, Spain, Portugal, Italy you name it would follow the trend.
Hawaonea huruma sana hawa jamaa maana watakuwa maskini kuliko Tanzania na hawana vihamba vya kulima vijijini kwao.
kubebwa mgongoni kwenda bafuni,kuogeshwa,kulishwa,kukubali kila anachosema hata kama ni upupu,kumuacha awe free usiguse simu,akichelewa usiulize alikuwa wapi, na alikuwa na nani,mpe pwd na atm card yako. Yaani uwe silent
Nitakuwa Antananarivo
hii imeingiaje hapa Ndahani?....au mimi ndio obling....
kubebwa mgongoni kwenda bafuni,kuogeshwa,kulishwa,kukubali kila anachosema hata kama ni upupu,kumuacha awe free usiguse simu,akichelewa usiulize alikuwa wapi, na alikuwa na nani,mpe pwd na atm card yako. Yaani uwe silent
Labda ndo vitu vidogo hivyo
kubebwa mgongoni kwenda bafuni,kuogeshwa,kulishwa,kukubali kila anachosema hata kama ni upupu,kumuacha awe free usiguse simu,akichelewa usiulize alikuwa wapi, na alikuwa na nani,mpe pwd na atm card yako. Yaani uwe silent
heri kuishi mwenyewe kuliko kununua hayo matatizo, nitawezaje kumfanyia hayo mtoto wa kiume ikiwa mimi mwenywe sijiwezi na nahitaji kufanyiwa hayo?
Ooohhh, yes.Haridhiki hata umbebe mgongoni
Mmh..vingine hapo vikubwa Smile...hiyo ya kumpa pwd na atm card,ya kutokuuliza mbona umechelewa mpenz kujua kama alipatwa na tatizo,kumbeba mgongoni inategemea na maumbo yenu jamaaani......maana ukikubaliana na kila kitu,mwishowe atakuambia bong'oa hapo nile uchochoro nataka kujaribu upenyo huo utamu wake ukoje sweetie....aaaaaaaaah,hapo sasa mdada atakuwa mke mwehu,mambo gani hayo!
Hivi hii kweli hii sentensi ya kweli au miye nimefikiria tu.. ?