Ukiwa na kadi ya CCM unafanya biashara yeyote halali na haramu. Kupata sjira si lazima uwe na cheti.Nasikia ukiwa na kadi ya ccm unapata mkopo.jaribu hilo.
Nalo nenoMtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe. Idharau aibu ufanye kazi yoyote halali kwa bidii huku ukijiwekea malengo ya kupata mtaji. Sio lazima uanze na mtaji mkubwa sana.
Ukiwa na kadi ya CCM unafanya biashara yeyote halsli na haramu. Kupata sjira si lazima uwe na cheti.[/QUOTE hahahha