Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kamasi huzijui basi wewe ni fungu la kukosa.to sifa tatu za muoaji
Nipo mkuu.
Kwema kiongozi?
Comment chungu na real tangu jf iundwe,na hii ndo mindset za watu wengi ...tatizo ni kui express ndo kipengeleSasa kwa dunia huu kutaka mwenzi wa kwako tu impossible na hyo wanaume kuwa polygamous huwa ni kujihalalishia tu in short we women's like different taste of people since watu hutofautiana, mie mwenyewe siwezi mind mtu wangu kisa cheating coz na mie napenda vya tofauti, that's why napenda mahusiano ya kupeana nafasi na sio yakutaka kumilikiana
Kuwa busy haimaanishi ume win conversations. All you do ukizidiwa arguments una kimbilia kusema ujinga mara nini [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]. Mjinga mwenyeweWashajijua nini?
Acha ramli na assumptions za kijinga wewe.
Na lengo la mada yako tushaijua na tumekunyoosha
Ametumika sana lakiniumri mzuri kweli hio wa kuoa.kwamza anakua kashayajua maisha
Naku support 100%,na binti zangu ntawalea katika misingi hii..Nasema ninachokiishi. I am a living testimony.
I am well educated and am married too with two kids.
Nisichokitaka Ni Hawa mabinti waweke ndoto zao pembeni kisa wanakimbilia ndoa na hivyo kuishia kuwa tegemezi na hatimae kunyanyasika sababu hawana A Wala B.
Thank you!Naku support 100%,na binti zangu ntawalea katika misingi hii..
hainaga makombo hiyo mkuu, mbona michepuko wengi tulionao ni wa age hizo na tunavimba kuwaopoa na wala hatusemagi wametumika sana?Ametumika sana lakini
Kumbe upo kushindana??Kuwa busy haimaanishi ume win conversations. All you do ukizidiwa arguments una kimbilia kusema ujinga mara nini [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]. Mjinga mwenyewe
Bangi halafu zinawavuruga, embu tizama wale wapiga debe kwenye vituo vya daladala, anapiga huku anasinzia wakati mwingine mpaka konda anaondoa gari akishtuka kulikimbiza anashindwa anaishia kutukana [emoji23][emoji23][emoji23]Tunaovuta bangi ndio tunaongoza kwa kuoa .[emoji23]
[emoji106]Sidhani kama hoja ya umri ina matter sana. Tabia za mtu na kuwa na umri mdogo au mkubwa si hoja ya msingi. Maana tunajionea wazi, watoto wa miaka 18 ni watu wazima kuliko wazazi wao. Yaani mtu kapitia mambo ambayo hata mzazi wake hajapitia.
Dunia ya sasa imebadilika. Ukipata mtu mwenye tabia njema, akiwa na miaka 23 au 30, mshukuru Mungu sana.
Wenye miaka iliyoenda wengi wanaona upuuzi kupoteza muda kwa kufanya mambo ya kijinga wakati watoto wanaona bado wana muda mwingi wa kuchezea na vice versa.
Pia ndoa za siku hizi wadada wengi wamepoteza interest sana. Na hii ni baadhi ya wanaojielewa na wanatazama future.
Kiukweli kwa maisha ya sasa, 23 bado anasoma. Akiacha kazi akimbilie kuolewa, je wanaume mna ubavu wa kumkubali kumuhudumia kwa kila hitaji lake? Najua ni wachache sana.
Wengi watamuona binti hana akili, ni mtu asiye na future, hana msaada hata inapotokea tatizo na dharau nyingi tu.
Mwisho mdada ataona ndoa chungu. Ila hatokuwa na pa kukimbilia. Atakuwa mtumwa maisha yake yote.
Tuacheni tujijenge jamani. Ndoa kama ipo ipo tu. Ukiwa na 20 au 50, its does not matter. What matters ni kufika malengo yako uliyojiwekea.
Kama malengo ni ndoa, go for it, kama ni kutengeneza kampuni do it, kama ni kusoma fanya hivyo.
Mtoa mada na watakaomsapoti ndio wajinga .
Wewe haupo kundi la majinga haya
Ninywe mara ngapi wakati nakunywa maji ya kutosha kila siku!Mkuu jitahidi unywe maji mengi hadi moyo ueleee...
Utamuelewa mleta uzi taratibu heheheh...
mishangazi iyoPia kaa mbali na mwanamke ambae aliolewa kisha akaachana na mmewe, tena awe kwenye 30-45.
Usicheze kabisa na hisia zake, akikupenda amekupenda kweli.
Ndoa ni kitu kingine kabisa kwa hii jinsia aiseee.
Kama inakuja alafu inakataaWingi wa wanawake wengi kutoolewa wakiwa na huo umri ni tatizo la wanaume wengi kua waoga wa maisha.