Wanaume Tuwe Tunaangalia Na Maswali Ya kuwauliza Hawa Wanawake

Wanaume Tuwe Tunaangalia Na Maswali Ya kuwauliza Hawa Wanawake

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Jamaa usiku wa kwanza kulala na mkewe baada
ya harusi akaamua amuulize swali asubuhi yake:-
Jamaa: Mpenzi wangu umewahi kulala na
wanaume wa ngapi kabla ya kuolewa na mimi?
Mke: Wote walikiwa hawalali maana usiku ilikuwa
shughuli tu, yaani wewe ndio wa kwanza tumelala mpaka asubuhi
Jamaa akazimia pale pale
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bwana unakaribia kuwa mkufunzi wa masuala ya haya.....na hapa lazima uwateke vijana....
 
Safi sana akizinduka una mwambia wakati umezimia kuna mwenzio kapiga cha fasta kaondoka
 
Back
Top Bottom