Wanaume tuwe wasafi jamani!

jinsia zote tu kuna haya matatizo! kuna wadada pia makwapa yao yanatema halafu unamkuta kavaa kibrauzi vikwapa viko inje inaboa na wale unakuta hadi kwenye shati kuna ramani!
namidomo jinsia zote wapo wanaonuka midomo!
wanaboa unakuta mtu anakomaa umpe kiss ya mdomo wakati domo linanuka kama choo cha shimo!
wanawake nao kule chini niwachafu pia mtu anakomaa kukuvuta chumvini wakati kunaharufu aaaaaaaggghh!
wote tuwe wasafi naukimuona jamaa/rafiki ananuka domo au sehemu yoyote mwelimishe!
 
Kuna Mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.

2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. raha mustarehe

kwani hotelini tuuuuuuuuu..yaani hapa kuna mkwe wangu ansukutua mdomo kwenye sink dining rooom,,,,naskia kumfikuza...hebu nipeni advice lol!!!
 
Yaani unapenga kamasi na kujifuta jasho halafu unaweka kitambaa mfukoni?
Thats nasty.

nimeshaona mdada akitoa leso akafutia viatu pale posta mpya baada ya kushuka kwenye daladala. Sijui kama alikua na nyingine au ndio multipurpose
 
kwani hotelini tuuuuuuuuu..yaani hapa kuna mkwe wangu ansukutua mdomo kwenye sink dining rooom,,,,naskia kumfikuza...hebu nipeni advice lol!!!

andika tangazo "usisukutue hapa" halafu libandike wakati watu wengine wamelala
 
Ila kusema ukweli wanaume wenzangu, wanawake wanatuvumilia sana hasa kwa suala la usafi. Kuna watu wananuka sana yaweza kuwa makwapa, midomo au makao makuu, soksi n.k. Wengi kubwa zaidi ni tatizo la usafi. Wengine huhitaji hata kumwangalia kujua ni nani maana wanaharufu kama za mbuzi dume. Yaani utajua tu ni fulani maana kama si mbuzi dume unafikiri ni nani sasa?

Kwa jinsi wanawake wanavyotuvumilia hawasemi chochote na wengi watakuchukulia hivyo hivyo na kuna wachache watakusema na kukushauri na pia kukazania kuwa anakukumbushia kila mara kuwa msafi. Chukulia wewe mwanaume ungekuwa ndio mwanamke, je utavumilia hiyo hali? Kusema ukweli mi ndio mwanamke vile haki ya nani kama ndio mume au rafiki wa kiume basi hakuna urafiki hapo.

Mungu awabariki sana akina dada na mama kwa jinsi wanavyotuvumilia. Ni kweli wanaume hawasifiwi kwa sura lkn suala la usafi ni la lazima. Na pia kuna wengine anakutembelea lkn akifika mlangoni kwako kama ni desturi kuvua viatu basi ujue atarudia mlangoni au atatinga hivyo hivyo.
 
NN huku nylon filaments au zile plastic ribbon zinazotumika kutoa masalia ya chakula na dental plaque kwenye meno sidhani kwanza kama watu wanazitumia au wanazijua kama wapo ni wachache, watu wamezoea toothpick kwa kwenda mbele lol!!

Unasema hizi.....
 

Attachments

  • hi_triple_clean.jpg
    15.2 KB · Views: 23
  • hi_comfort_clean_floss_picks.jpg
    15 KB · Views: 24
  • hi_comfort_clean_easy_angle.jpg
    15.9 KB · Views: 21
Ukweli ni kwamba haya mambo ya usafi ni ya pande zote. Kuna dada mmoja ninafanya naye kazi, Oh my Lord, hicho kinywa! Anapiga pamba na accessories za nguvu lakini sijui kwa nini anasahau huo mdomo. Sipendi kumwambia kwa sababu itakuwa namu offend. Ila sasa siku hizi nina mtindo akija tu ofisini kuongea na mimi, natoa chewing gum zile za mint flavor, halafu najidai kushare "You want one?". This way natatua tatizo la harufu kwa muda mfupi.
 
Jamani hata wanawake wachafu wapo wengi sana, kuna nyumba moja nilingia hiyo nyumba wanaishi wanawake wa familia moja.

Kwenye uwa wa nyumba hiyo wameanika nguo kwenye kamba nilichokiona ni chupi za wanawake zimefuliwa lakini zimechoka sana sehemu ya katikati zimebadilika rangi, chupi nyeupe katikati ina rangi ya blown...lol...
 
Hizi comments ingebidi azitoe mwanamke...nakushangaa wewe lidume lizima unaponda midume myenzako!!
 




hapa nilipo umeniacha hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,
maana nacheka hadi mbavu zinashikiliwa na watu.
 

madhara yake?,,,....
 
Mkuu kwenye hateli masink huwa yako WC, huko ndo haswaaa kunako fanyika usafi huo unaoutaka.

mwenzio anamaanisha hoteli za uswazi, sio zile za manyota nyota so sink kuwa karibu na kaunta ya chakula si ajabu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…