Wanaume tuwe wasafi jamani!

siyo kila Hoteli ina masink WC kwa taarifa yako mimi nwenyewe nilishuhudia jamaa Pale mnazi mmoja akisukutua na kutema mate wakati wengine tukila chakula.

Kigarama naamini unamaanisha MGAHAWA.
Manake kule kijijini kwetu hata banda la mama lishe twaita HOTEL.

Otherwise nitajipima kupitia list yako nione wapi nachemka, manake mambo haya bila wito ni kazi ngumu kweli.
 
kwa soksi kama una mke si anafanya hiyo kazi ya kufua jamani kiukweli hata kwangu kufua soksi ni mzigo mkubwa mnoo bora ninununue soksi kila siku demu wangu aje kufua wkend
 
Basi sisi wapanda daladala ndo tunakoma!kuna modume inanuka vibaya!jana nilikuwa kwenye daladala ya mwenge chuo, mwe!nusu nizimie, mtu anatema harufu kama guruwe!tukafungua madirisha yote lakini wapi!ful ku suffocate!!wanaume wenye tabia ya uchafu muache jamani!hv hata mwana mke atakukiss vipi kama hali yenyewe ndo kama hivyo!igeni mfano kwa wanaume wanaojipenda, kuna wakaka wapo smart hadi raha kum hug..!unatamani akukumbatie mda wote lakini wengine hutamani hata akusogelee!keroooo, kichefuchefu!
 
Basi sisi wapanda daladala ndo tunakoma!kuna madume inanuka vibaya!jana nilikuwa kwenye daladala, mwe!nusu nizimie, mtu anatema harufu kama guruwe!tukafungua madirisha yote lakini wapi!ful ku suffocate!!wanaume wenye tabia ya uchafu muache jamani!hv hata mwana mke atakukiss vipi kama hali yenyewe ndo kama hivyo!igeni mfano kwa wanaume wanaojipenda, kuna wakaka wapo smart hadi raha kum hug..!unatamani akukumbatie mda wote lakini wengine hutamani hata akusogelee!keroooo, kichefuchefu!
 
kwan tukifutua ndo iwe matangazo? yaaan kikitu kiduchu cha kumwambia ehh bwwana ehh ni ivi stak vile lijitu la kiume utaliona limeleta jf tujadlil..
Hahahahahaaaaaaa! Jamani na wewe Rose una maneno!!!! Hivi ni demu kweli wewe au kanyanga???? Huyo bwana ako kala hasara.
 

ktkt nyekundu, Hii inakera nayo. Unamkuta baada ya kuingiza dole puani na baadae anakusalimia kwa mkono huo huo, yaani acha tuu
 
Mie nna addiction ya harufu ya mume wangu silali mpaka niinuse, akisafiri huwa natafuta Tshirt zake nnalalanazo chini ya kichwa, sizifui makusudi, niipate tu harufu yake. Kumbuka hanuki ananukia kama misk, MashaAllah, Mungu aniwekee Gozi langu.

Usafi ni katika imaan. Mwenye imaan ya kweli awe mwanamme awe mwanamke hanuki hata chembe, kwanza Waislaam wenye imani yakini huswali (kwa uchache) swala tano kila siku na kila swalaat lazima uwe na udhu, huo mnuko utatoka wapi?
 
Mashallah! Bi mkubwa wangu hapo kwa Gozi lako umenikonga
 
basi mtu wa hivi kukiss anataka kila mara namtimulia huko loooh!
 
Heeheeheeee! Mkuu wa ndimu, hakikisha umebeba ndimu mda wote! Akikulazimisha tena kwenda chumvini unakamulia ndimu kwanza...!!! Heeheee mapenzi ya kuiga yana balaa, yaani ananuka kunako lkn bado anakulazimisha ulambe vitu?????
Ngoja nicheki na wachina wawatengenezee wachimba chumvi kondomu za midomo, maana hii kasi mnayokwenda nayo ni balaaa! khaaaaaa!
 
Kigarama naamini unamaanisha MGAHAWA.
Manake kule kijijini kwetu hata banda la mama lishe twaita HOTEL.

Otherwise nitajipima kupitia list yako nione wapi nachemka, manake mambo haya bila wito ni kazi ngumu kweli.
kweli bwana nilikuwa namaanisha mgahawa ingawa si ule wa mama ntilie bali ni "Restaurant" kwani kwa vigezo vya walioendelea kila kitu huku utakiona ni shaghalabaghala!
 
Kufloss ndio nini tena jamani maana ulivyokazania...nahitaji kujua tafadhali
kusafisha kinywa kwa vifaa maalumu vilivyothibitishwa au kuwa na aina fulani ya madawa yanayoua baadhi ya "wadudu" kinywani. Kinywa ndiyo sehemu yenye wadudu wengi kwenye mwili wa binadamu.
 

Hiyo ya kikwapa tiba yake ni rahisi sana na haina gharama. Paka jivu na ndimu halafu inakuwa poa kabisa.
 

Hata hapa Dar tunakutana nao kwenye daladala na miharufu yao kibao, utasema wanalala na mbuzi.
 
We Mmama Unakera WEWE, Basi TU! Sasa unataka kumaanisha Dini Gani Hufundisha Uchafu: SHAME ON YOU! Cro**d*le

Mie nna addiction ya harufu ya mume wangu silali mpaka niinuse, akisafiri huwa natafuta Tshirt zake nnalalanazo chini ya kichwa, sizifui makusudi, niipate tu harufu yake. Kumbuka hanuki ananukia kama misk, MashaAllah, Mungu aniwekee Gozi langu.

Usafi ni katika imaan. Mwenye imaan ya kweli awe mwanamme awe mwanamke hanuki hata chembe, kwanza Waislaam wenye imani yakini huswali (kwa uchache) swala tano kila siku na kila swalaat lazima uwe na udhu, huo mnuko utatoka wapi?
 


Mkuu pamoja na yote uliyosema, wananikera pia wanaume wenzangu wanaokojoa na kurudisha naniliu kwenye chupi ilihali kuna michirizi ya mikojo haijakauka. Matokeo yake, uvundo usiomithilika jaswa sisi tuishio maeneo yenye joto!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…