ukweli ni kwamba wengi wao wakishapata mtu kama huyo huona huo ndio wakati muafaka wa kutangaza shida zao,wanashindwa kufikiria kwamba penzi linapomea ndipo vitu kama hivyo huja automatically.kwa yale unayosema kama wewe huna tabia kama hizo ni vema na ni msingi mzuri katika mahusiano.
Lakini pia Nakapanya kuna kitu kimoja sku hizi wanawake njia nzuri ya kunfukuza mtu usiye mtaka ni hii unampiga mzinga mtakatifu kabla ya kuvunja amri basi lazima ale kona tu hata iweje na hapo najua fika hutoweza kurudi manake kama umeshindwa kumpa wafikiri atakuelewa?
nilishawah kuapply njia hii and it worked nia ilikuwa kujiondolea shombo so i proposed big amount of money alipoona maji marefu he kept quite na mimi i kept shush so auto akawa amejiondoa kwangu. sasa kama mtu unamwambia hakuelewi mpaleke chaka tu ivo ivo.
so jiangalie kama kweli alishawah kuonyesha kutokukutaka basi hii ndo njia ya kukufukuza.
gfsonwin, mimi huwa nafanya umachinga ili nisiwe mzigo kwa mwenzangu. Kama huwezi hata kuuza nyanya ili mwenzako nae apate pumzi na hela yake sijui tunataka kuwa wanawake wa aina gani. Ila hii omba omba ya wanawake sometimes ukiichimba sana utakuta wale walioumizwa na walikotoka ndiyo wanakuwa na hizi tabia, nikimaanisha;alitumia hela yake nyingi labda kumservice mwanaume wake end of the day akaingia mitini bila kumpa chochote akipata mtu analipiza. Nahisi kama tunakosea vile. Huwezi kumfananisha kila unakuwa nae na ulikotoka.Caroline Danzi katika umaskini ambao unatakiwa kuukimbia mwanamke ni wa kuomba hela hasa kwa mpenzi wako. ni ujidhalilisha sana na men do gossip atakwenda kukutangaza kuwa ni mtu wa mizinga ama anakupa huku analalamika ya nini? yakwako yakwao yakwangu yakwangu na mwisho wa siku kama nakupa nakupa kwa upendo na kama unanipa unipe kwa upendo ila sikuombi.
ni jeuri nzuri sana kwa mwanamke ukiiweza inakupa kujiamni na akili pia ya kutafuta hela huwi tegemezi hata siku moja.
aisee Nakapanya katika vitu ambavyo sipend kutoka kwa mwanaume awe ni mume wangu ama hata ni mashtuzi kama mzinga aisee. yaani asbh naamka naomba nauli ya kazini dear??? uwiiiiiii bora nisiende kazini iyo siku ntafute hela. yanini kujidhalilisha?? wewe kama mume wajua familia yapaswa kuish vyema just give pasi kuambiwa na acha kabisa matumizi ya mwez adiri ya bajeti ya nyumba yako.
wewe wa mashtuzi stress kwako miye na wewe tunassume tuko peponi tu usinipige mzinga wala nisikupige na siku ukiona unadhiki hadi miguuni usintafute na mimi nikiwa hivyo sikutafuti so heshma mbele. ni upumbavu san akutegemea wanaume hasa kwenye hela.
hiyo imewahi kumtokea rafiki yangu,ila kwa huyu demu hajawahi kuonyesha kwamba namtia shombo.Halafu vp kama unapotaja dau hilo kubwa ili kumkimbiza mtu afu akatoa na kuamua kukung'ang'ania utimize ahadi?kwa wale walio kwenye ndoa mi sidhani kama ni kosa kumuomba mwenzi wako pesa kama umeishiwa lakini isiwe ndio tabia yako,yani uwe nazo unaomba,usipokuwa nazo ndio matatizo zaidi.
Mara nyingi wanawake wengi wa hivi hawaombi hela kwa wapenzi wao wa ukweli, huwa wanaweka masharti kama haya kwa wanaume wa kupita. baadhi ya wanawake wana hii tabia.Caroline Danzi katika umaskini ambao unatakiwa kuukimbia mwanamke ni wa kuomba hela hasa kwa mpenzi wako. ni ujidhalilisha sana na men do gossip atakwenda kukutangaza kuwa ni mtu wa mizinga ama anakupa huku analalamika ya nini? yakwako yakwao yakwangu yakwangu na mwisho wa siku kama nakupa nakupa kwa upendo na kama unanipa unipe kwa upendo ila sikuombi.
ni jeuri nzuri sana kwa mwanamke ukiiweza inakupa kujiamni na akili pia ya kutafuta hela huwi tegemezi hata siku moja.
ni kweli si vema kumtegemea mwanaume kwenye hela,lakini vipi kwa wale ambao hawafanyi kazi yaani ni mama wa nyumbani tuu?hapo wewe umeonyesha msimamo labda kwa vile unafanya kazi na kujipatia kipato chako binafsi,vp ungekuwa huna kazi inayokuingizia kipato?
Inatokea kuna mdada umempenda sana,unachukua uamuzi wa kumtongoza na yeye bila hiyana anakukubalia,mnaingia kwenye mahusiano,inapita kama miezi 3 bila kukutana kimwili tangu muanze uhusiano maana kila ukimuomba penzi anakuzungusha kwa sababu mbalimbali na ahadi zisizotimilika.Unaamua kutulia tu;siku moja unapokea sms yake inasema hivi,"HONEY NAKUPENDA SANA,NAPENDA KUWA NAWE ILA KABLA SIJALALA NAWE/KUFANYA MAPENZI NAOMBA UNILIPIE PANGO LA NYUMBA MIEZI 6(72000) COZ KWASASA SINA KAMAPANI NA NIMEFULIA,JE UPO TAYARI?".sasa kama ungekuwa wewe ungefanyaje?
inategemea!! unahisi huyo dada anakupenda kweli, inawezekana hakukupa mwanzo maana alikuwa anajaribu kulipia mwenyewe. aliposhindwa ndio akaja kwako, approach yake ni mbaya maana ana-assume upo naye just for sex, just mlipie halafu muulize kama anaupendo kwako. wengine wanabana penzi kutokana na stress za maisha, dada kabugi step lakkkini sidhani kama hakupendikumlipia pango sio ishu,lakini huoni kama hapo hakuna upendo ila kinachozingatiwa ni pesa?na je huoni hiyo ni sawa na kununua penzi?ina tofauti gani na kununua madada poa?
Mara nyingi wanawake wengi wa hivi hawaombi hela kwa wapenzi wao wa ukweli, huwa wanaweka masharti kama haya kwa wanaume wa kupita. baadhi ya wanawake wana hii tabia.
Ni kama wanaume wanao-ogopa kuoa wanawake wanaovutia sana,wanaoa wanawake wa kawaida halafu wanakuwa wana-cheat na hao wanavutia sana. Vilevile kuna wanawake wanaishi na wanaume wanaowapenda ingawa hawana hela, halafu wanafanya haka kabiashara na wanaume wa nje wenye hela.
wanawake na wenyewe ni wajanja wanaangalia na mtu mwenyewe manake kama siku mbili tatu umetoka na mtu lunch ama dinner inatosha kujua kwamba mkono wake ni mrefuje na wewe hapo hapo ndipo unapocheza napo. kama ktu mkitoka anakugharamia laki kwanini nimpige mzinga wa laki piga wa m5-10 manina wallah mwenyewe anapiga chini na wewe kiulain unakaa pambeni.
hata wenye ndoa matatzo makubwa ya famili ni juu ya hela asikwambie mtu. so kuombana hela kukizid yaani laazima mkwaruzane tu ni afadhali upige bajeti kwenye ile ya matumizi upige panga hata la mafuta ya gari full tank kuliko kumwambia kabisa naomba niekee mafuta ya kuendea job. zipo akili nyingi sana za kuipata hela ya mume pasi kumwambia direct. manake mfano niki overestimate gharama sijapata cha juu? chezeya akiali ya kike wewe? yaani kwenye ndoa wenzio huwa tunasubiri kupewa ama kutoa kwa kupenda na wala si kwasababu tumeomba.
unalisoma hilo lijamaa unaona halina mpango na wewe heri ulichomoe hata akikutoa jasho ushafaidi hata kakodi alahwanawake wengine wana macho makavu. Hivi unaanzaje kuomba hela as if ulimuwekesha. Mungu aniepushe na huo wizi. Inatia kinyaa.
Unawazibia watu rizki wewe........ngoja siku moja wakumwagie tindikali ndio utashika
adabu
wanawake na wenyewe ni wajanja wanaangalia na mtu mwenyewe manake kama siku mbili tatu umetoka na mtu lunch ama dinner inatosha kujua kwamba mkono wake ni mrefuje na wewe hapo hapo ndipo unapocheza napo. kama ktu mkitoka anakugharamia laki kwanini nimpige mzinga wa laki piga wa m5-10 manina wallah mwenyewe anapiga chini na wewe kiulain unakaa pambeni.
hata wenye ndoa matatzo makubwa ya famili ni juu ya hela asikwambie mtu. so kuombana hela kukizid yaani laazima mkwaruzane tu ni afadhali upige bajeti kwenye ile ya matumizi upige panga hata la mafuta ya gari full tank kuliko kumwambia kabisa naomba niekee mafuta ya kuendea job. zipo akili nyingi sana za kuipata hela ya mume pasi kumwambia direct. manake mfano niki overestimate gharama sijapata cha juu? chezeya akiali ya kike wewe? yaani kwenye ndoa wenzio huwa tunasubiri kupewa ama kutoa kwa kupenda na wala si kwasababu tumeomba.
duuuuh kwa mtindo huo naomba niendelee kuwepo kwa muda kidogo maana naona ntazeeka na kufa mapema hata kuvikosa vijisenti vyangu vya pensheni.