Wanaume wa Dar kwa kununua magazeti ya udaku wanaongoza

manSniper

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
814
Reaction score
680
sijui tuseme ni majob less au ni umbea, au ni malezi, au ni ulimbukeni.. unakuta mwanaume na akili zake ananua gazet la udaku afu anaanza kufuatilia habari ya diamond na zari au wema na idrisa au ney wa mitego na bifu zake za kike kwan ni kukosa kazi au vp wanaume wa Dar wakati wanaume wenzenu wa mkoani tupo bize kusaka maela mishe kibao badilikeni wanaume wa Dar kutwa kushinda vijiweni kudiscas ya wema
 
Unasaka pesa wapi wewe unadiskasi wanaume wa dar tu. Pengine hata dar hujawahi fika wewe
 
wanaume wa mikoani kutwa nzima kudiscuss wanaume wa Dar.... hivi hamna kazi za kufanya??
 



kijana unakoelekea hukujui na hajui umuhimu wa mitandao jakaya kikwete alisema vijana tumieni mitandao kwa faida,,,,, kama mtu unaamka asubuhi unamuwaza mtu na kuchunguza maisha yake kisha unakikimbilia kupost jf tena saa nne asubuh bado unajiita msaka pesa lazima akili yako itakuwa na matatizo. vijana wengi wanakimbia vijijini kuja kuuza maji dar na wanafanikiwa baadhi wanalea familia mikoani kwa kuwatumia pesa wanazozipata dar huna tofauti na mmbea au msoma udaku.
 
mkuu mm najua isaka ela arifu mm sikaagi vijiweni ww
 
Unasaka pesa wapi wewe unadiskasi wanaume wa dar tu. Pengine hata dar hujawahi fika wewe
Dar ipi iyo jaji chafu mkuu wap nisipajue niambie nikutajie adi nyumba yenu
 
mkuu mm najua isaka ela arifu mm sikaagi vijiweni ww



msaka pesa anashindana na msaka pesa mwenzie unaowadhihak leo kesho utwapigia magoti kwani dar wanaume wanalala? hawatunz familia zao?
 
Ulifanyia wap iyo research yako
Mana naona unakurupuka nakutafut kick uonekan
 
Wanaume wa dar hata wanavyo tembea unaweza kujua wana malaria lakini wenyewe wanasema ndio ujanja.
 
Hahahaha ...hivi kuna shida gani mwanaume kununua gazeti la udaku,au hata kufuatilia hadithi as shigongo...kwani hayo magazeti yaneandikwa "kwa wanawake tu"..acheni kuwasema wakaka wa watu jamani. Mwingine leisure time yake anatumia humo.
 
Ukimuuliza gazeti la udaku la nini anadai anampelekea wife kumbe mpaka likifika kwa wife wake anakuwa kashasoma hadi matangazo ya super shaft
 
Teh teh teh sasa hapo kweli mwanaume ni nani?.
 

Attachments

  • 1460452742465.jpg
    27.2 KB · Views: 62
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…