tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,491
hasa hasa katika makutano ya barabara sehemu zenye mataa utakuta wadada kibao tu na mabeseni yao wakiwa wanauza hii kitu na wanunuzi karibu wote ni wanaume....sasa kwanini chakula hii ni wanaume tu ndo wanunuzi kulikoni....why not also ladies.......