Nimeikuta hukooo mdau anawalalmikia wanaume wa darWanaume wa dar ni wanatuaibisha sana tukitoka mikoan kwenda dar wao hawana story zaid ya kuulizia dawa za kuongeza acheche
teh teh teh huyu jamaa kanichekesha sanaNimeikuta hukooo mdau anawalalmikia wanaume wa darView attachment 945740
Hayo mapaja ni ya kike au ya kiume? Bado naendelea kutafakariView attachment 945548
hasa hasa katika makutano ya barabara sehemu zenye mataa utakuta wadada kibao tu na mabeseni yao wakiwa wanauza hii kitu na wanunuzi karibu wote ni wanaume....sasa kwanini chakula hii ni wanaume tu ndo wanunuzi kulikoni....why not also ladies.......
Kuna siku niliwakuta vijana wapo kijiweni wanaelekezana sehemu zenye Chipsi tamu, Nilishtuka sana.chips ndiyo shida. wee mwanume mzima anashindia chips. halafu anasema kabisa zikauke.
ndiyo maana wanalalamikiwa na wake zao kuwa hawawezi kulima mashamba.
HahahNimeikuta hukooo mdau anawalalmikia wanaume wa darView attachment 945740
😀Busta iyoView attachment 946109