Unakosea sana gloves ni moja ila unafahamu kuwa kuna watu wanakufa kwa kukosa paracetamol?Hiii ni aibu watu tuna ndugu ikifika mwezi wa kumi na mbili mnazajazana vijijini tuna washangaa tunawaona wa maana kumbe hamnazo kabisa.
Mtu unaishi dar unamtia mtoto wa kike mimba ila huna uwezo wa kununua Groves ya kumsaidia mkeo kujifungua?
Nimeamini joto la Dar linawasaidia sana vinginevyo hata ndomu hamna uwezo wa kununua.
Na akili yako ya ufahamu kabisa umeona umeandika cha maana sana.Hiii ni aibu watu tuna ndugu ikifika mwezi wa kumi na mbili mnazajazana vijijini tuna washangaa tunawaona wa maana kumbe hamnazo kabisa.
Mtu unaishi dar unamtia mtoto wa kike mimba ila huna uwezo wa kununua Groves ya kumsaidia mkeo kujifungua?
Nimeamini joto la Dar linawasaidia sana vinginevyo hata ndomu hamna uwezo wa kununua.
Kwani wewe ulipozaliwa nani alinunua gloves? Na aliekuambia wanaoshika mimba na kuhitaji gloves ni wake zetu ni nani?Hiii ni aibu watu tuna ndugu ikifika mwezi wa kumi na mbili mnazajazana vijijini tuna washangaa tunawaona wa maana kumbe hamnazo kabisa.
Mtu unaishi dar unamtia mtoto wa kike mimba ila huna uwezo wa kununua Groves ya kumsaidia mkeo kujifungua?
Nimeamini joto la Dar linawasaidia sana vinginevyo hata ndomu hamna uwezo wa kununua.