Wanaume wa dar hivi mnavyo jiremba na kujipodoa kama dada zenu lengo lenu huwa ni kumtega nani?maana sisi wa mikoani tunawashangaa mapicha yenu mnayosambaza kwenye social media mmejiremba na kujipodoa kushinda hata dada zenu mbaka mnatuchanganya wa mikoani tunaanza kuwafata inbox tukijua watoto wa kike kumbe tunatongoza wanaume wenzetu acheni hizo tabia za ajabu!