Mwanamme wa Dar ni mwanamme yeyote goigoi, mwoga wa kila kitu ila mwepesi kuongea na kukashifu au kukemea mtandaoni, anajifanya anapenda sana wanawake ila hajuwi kucheza nao kitandani akimaliza anakwenda kujisifia kijiweni kalala na demu fulani na kamkomesha kumbe kapiga kimoja tu kisha kulala hoi hajitambui, kujifany anajuwa kumbe ziro brain, kupenda sana leva n kujifanya mtu wa matawi kisa eti bongo fleva, kusuka na kuva hereni kushindana na dada, Mama, mademu wao, kuvuaa visuruali vya kubana pumbu ili akiongea awe anabana pua, kujifanya mwanamme kumbe anashikishwa ukuta na wenzake kitaa, kujifanya mtu wa matawi wakati anaishi Kimara, Mbezi ya Morogoro Road, Kwa Mtogole, Madale, Mbagala, Keko, Buguruni.