Kama kawa sisi ndo tunanunua mazao ya wapagazi wetu walioko mashambani na korosho tumewagomea sasa nyie Si vidume haya mzivundike...
Tujipongeze wanaume wa dar
Eti naomba kuuliza..eti kwa nini wanaume wa Dar mnapenda kula vitu laini na pia mnapaka poda,make up, kutinda nyusi pia kuoshwa kucha na pia kupumliwa kisogoni?
Kama kawa sisi ndo tunanunua mazao ya wapagazi wetu walioko mashambani na korosho tumewagomea sasa nyie Si vidume haya mzivundike...
Tujipongeze wanaume wa dar
Eti naomba kuuliza..eti kwa nini wanaume wa Dar mnapenda kula vitu laini na pia mnapaka poda,make up, kutinda nyusi pia kuoshwa kucha na pia kupumliwa kisogoni?