Jogoo wa Shamba II JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 3,373 Reaction score 6,532 Dec 15, 2017 #121 Ahaaaaaa
Muuza simu used JF-Expert Member Joined Aug 23, 2017 Posts 4,393 Reaction score 7,074 Dec 15, 2017 #122 Huu sasa unaitwa uchochezi dhidi za wanaume wa Dar! Hahaaaa
boaz mwalwayo JF-Expert Member Joined Jan 27, 2015 Posts 6,287 Reaction score 4,738 Dec 15, 2017 #123 Dar kila kona kuna Tangazo la kuongeza Nguvu za kiume kweli Tembea ujionee Dunia pana huwezi kujaa
L lingula70 JF-Expert Member Joined Apr 16, 2014 Posts 4,053 Reaction score 1,966 Dec 15, 2017 #124 Weka video
L lingula70 JF-Expert Member Joined Apr 16, 2014 Posts 4,053 Reaction score 1,966 Dec 15, 2017 #125 yudatade edesi shayo said: Leo nikuwa kwa mama ntilie mmoja hivi maeneo ya magomeni,katokea mwanaume wa dar etii hawezi kula ugali wa Dona ni mgumu utamuumiza meno daaaah Click to expand... Jamaa anaogopa kuchambia magunzi Hanitoni said: wanaume wa dar bna.c ndo maana wakiona panya road wanajificha mpk kwenye uvungu wa IST Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app Click to expand...
yudatade edesi shayo said: Leo nikuwa kwa mama ntilie mmoja hivi maeneo ya magomeni,katokea mwanaume wa dar etii hawezi kula ugali wa Dona ni mgumu utamuumiza meno daaaah Click to expand... Jamaa anaogopa kuchambia magunzi Hanitoni said: wanaume wa dar bna.c ndo maana wakiona panya road wanajificha mpk kwenye uvungu wa IST Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app Click to expand...