Wanaume wa Dar

Blues1

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2015
Posts
663
Reaction score
1,412
Akikutongoza ukimkubali siku hiyohiyo anakuona maharage ya mbeya (malaya) wakati akikitongoza ukimzungusha mwezi mzima anakuona una roho mbaya anatafuta mwingine.

Ukiwa mkimya hata akikufokea humjibu anakuona jeuri na una gubu wakati ukiwa mlalamikaji na unajibu kwa hoja(tena zenye kumfanya aonekane pointless) hapo utaonekana unampanda kichwani na anaweza akakushushia kipondo heavy

Katika kugegedana ukimuonyesha miuno feni mautundu mia mia kwa bed anakuona umekubuhu meter imesoma sana hufai kuwa wife wakati ukijifanya gogo kitandani hapo mtaa mzima utajua kwamba huna lolote uzuri wa nje tu ndani empty.

Ukitulia kwake huna mchepuko wala mafiga matatu anakuona we mbaya akutake nani? Wakati ukiamua sasa kuwa na michepuko anakuona malaya na anaweza akakuua kwa wivu.

Ukiwa unagombana na michepuko yake anakuona wewe sio wife material huwez kuvumilia mikiki ya ndoa wakati ukiwa unapotezea ukigundua ana michepuko anajua kama humpendi kuna jamaa anakukaza ndomana huna wivu.

Hebu ongezea yako nawewe
 
Hahahaa. Mtuvumilie tu ndivyo tulivyo
 
My dear Mwanadamu kamwe hutokaa humridhishe.

Kwan kisa cha Punda,mizigo, mweye punda na mkewe , wapita njia,.. Hukijui????

Ila asante sana,nikushukuru kwa kutuona wanaume wa Dar ni matatizo. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
wewe kama wagegedwa kwa ajili ya kumfurahisha mwanaume itakula kwako. wewe gegedwa kwa kuwa wewe unapenda mgegedo
 
Nitarudi kuiedit hii comment yangu nikimaliza kufuturu
Nalog off
 
fanya mpango utiw.e na wanaume wa mikoa halafu uje kutupa mrejesho tuone mzani umelalia wapi?????hapo ndio nitakupa ushaur wangu
 
Ulicho andika kinaitwa

Kusoma ni Kazi ya wengine

Kuelewa Kazi ya wengine

Mi napita tu [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…