wanaume wa fesibuku wanapenda kweli?


Sisi tuliojiajiri tunatumia fursa ya facebook kutangaza biashara zetu Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More; siju wewe unatangaza sura au ku "LIKE" handsome boys wakikubusu kuna shida gani wakati ni handsome?
 
Ukiwa facebook unatakiwa kuwa makini sana,sio facebook tu na social network zingine,usiwe na haraka ya kukutana na mtu,
pia unatakiwa uwafahamu kwanza marafiki zake wa karibu,na kama ni mara ya kwanza ndo mmepanga kukutana na mtu
unatakiwa uende na rafiki yako bila hata kumwambia yeye kuwa mnaenda wangapi,huo sio upendo,anayekupenda lazima
akujali na kujali hisia zako na unachomwambia,just kuwa makini,wengine wanaupload pics zao za nyumbani,flat screens,
na vitu vingine vya gharama halafu pia wameandika na location wanazoishi,hiyo unasababisha pia uvamiwe na vibaka au majambazi,kuwa makini.
 
hawapendi.kwa sababu totoz wengi,na kila mmoja kajitahid kwenda photopoint.wanadate tu.hakuna love.
 
wanaume wa fb ukiamua kutembea nao wote inawezekana
 
Nenda kafanye assignment we mtoto. Marafiki wa shule na wa mtaani kwenu hawakutoshi unataka uongeze wa FB, kule wengi pasua kichwa. Kuwa nao makini.
 
Pole mdada. Wanaume ni wanaume, haijalishi wa fb, jamiiforums wala twitter. Akili kichwani mwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…